Wafanyakazi, mishahara ya July vipi?

mwl frank

R I P
Jul 11, 2011
78
27
mishahara ya mwezi huu kwa watumishi wa umma bado hadi leo,tatizo ni nini wakuu! na ni kwa nchi nzima au kuna idara zingine wameisha uona?
 
huku iringa bado hatujapata(walimu), kwa taarifa nilizopata, wizara inasubiri upepo wa mgomo wa walimu, wakigoma tu mishahara haitatolewa. mimi ni mwalimu nitaunga huo mgomo mpaka kieleweke kwasababu nina uhakika navyeti vyangu. Walimu wengi wanaogopa kugoma kwasababu wana vyeti feki.
 
mishahara ya mwezi huu kwa watumishi wa umma bado hadi leo,tatizo ni nini wakuu! na ni kwa nchi nzima au kuna idara zingine wameisha uona?

Mwalimu kwani lazima kila mwezi ulipwe? Jitoleeni mjenge taifa lenu.
 
July nikawaida mishahara kuchelewa kwaajili ya marekebisho na nyongeza za mishahara.Kazi hii inafanywa kwa umakini ili mtua aongezewe stahili yake bila kuchanganywa na yamtu mwingine aidha kwa kupunjwa au kuongezwa asivyostahili. Ni kazi inayohitaji umakini.
 
I see it is very bad we are starving lakini mgomo usonge mbele. Kwani idara ambazo si za ualimu wamepata?
 
huku iringa bado hatujapata(walimu), kwa taarifa nilizopata, wizara inasubiri upepo wa mgomo wa walimu, wakigoma tu mishahara haitatolewa. mimi ni mwalimu nitaunga huo mgomo mpaka kieleweke kwasababu nina uhakika navyeti vyangu. Walimu wengi wanaogopa kugoma kwasababu wana vyeti feki.




umenena
 
Mwalimu kwani lazima kila mwezi ulipwe? Jitoleeni mjenge taifa lenu.

we unataka wakale polisi? mikopo utawalipia wewe? watoto wao utawasomesha? bill zao utawalipia? pesa za matumizi utawapa? mambo za bure hakuna siku hizi,kila kitu kinwa ni bure basi wangejitolea kufanya bure
 
walimu wa masasi wameshalipwa mbona....! mshahara ni haki ya kila mafanyakazi.... haiusiani na mgomo
 
we unataka wakale polisi? mikopo utawalipia wewe? watoto wao utawasomesha? bill zao utawalipia? pesa za matumizi utawapa? mambo za bure hakuna siku hizi,kila kitu kinwa ni bure basi wangejitolea kufanya bure

Nilikuwa sijui, kumbe hivyo? Basi walipwe.
 
Mshahara umechelewa tu mmeanza kuuliza, je hayo mafao mtaweza kweli kusubiri mpaka ufikishe miaka 55?????
 
July nikawaida mishahara kuchelewa kwaajili ya marekebisho na nyongeza za mishahara.Kazi hii inafanywa kwa umakini ili mtua aongezewe stahili yake bila kuchanganywa na yamtu mwingine aidha kwa kupunjwa au kuongezwa asivyostahili. Ni kazi inayohitaji umakini.
Haya ndiyo mawazo mgando ambayo tunatakiwa kuyafuta vichwani mwetu.
 
mishahara ya mwezi huu kwa watumishi wa umma bado hadi leo,tatizo ni nini wakuu! na ni kwa nchi nzima au kuna idara zingine wameisha uona?
Mshahara mpaka tarehe mosi agost. Kuna system mpya inaanza kutumika serikalini ... epica... kwa hiyo wanataka ianze kusoma mishahara tarehe mosi.
 
Vipi taasisi nyingine za umma na wizarani mshalipwa? Bora sisi yani tar 21 ushavuta mpunga wako fasta!!
 
I see it is very bad we are starving lakini mgomo usonge mbele. Kwani idara ambazo si za ualimu wamepata?

Hatujapata mkuu! hali ni mbaya kweli kweli, mshahara kiduchu na bado unacheleweshwa tena.Hivi Botswana hawahitaji Waalimu? nisaidieni jamani.
 
July nikawaida mishahara kuchelewa kwaajili ya marekebisho na nyongeza za mishahara.Kazi hii inafanywa kwa umakini ili mtua aongezewe stahili yake bila kuchanganywa na yamtu mwingine aidha kwa kupunjwa au kuongezwa asivyostahili. Ni kazi inayohitaji umakini.
Kwani hiyo nyongezxa ni kitu cha ghafla? Serikali inakuwa imeshajua miezi mingi kabla kuwa itaongeza mishahara, kwa nini ichelewe kufanya hesabu. Au, kwa nini wasilipe mishahara kama kawaida na nyongeza ije kwenye mshahara wa mwezi ujao?
 
Mimi sio mchumi, labda unanifanisha na mtu. Mimi ni nuclear scientist, nina utaalamu pia wa WMD kutoka Marekani.

Vipi mkuu, kwenye mchakato wa uchimbaji wa Uranium umebahatika kuhusika? achilia mbali kuendelea kuibiwa kama Taifa, Afya zetu zitanusurika kweli? au Mali mbele Mauti Nyuma?
 
huku iringa bado hatujapata(walimu), kwa taarifa nilizopata, wizara inasubiri upepo wa mgomo wa walimu, wakigoma tu mishahara haitatolewa. mimi ni mwalimu nitaunga huo mgomo mpaka kieleweke kwasababu nina uhakika navyeti vyangu. Walimu wengi wanaogopa kugoma kwasababu wana vyeti feki.

nafikiri mgomo ni wa walimu,je na idara nyingine zinaingiaje kwenye kucheleweshwa?
 
Back
Top Bottom