bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,549
Gazeti la Mfanyakazi lilikuwa ni gazeti lililokuwa mashuhuri sana kabla ya magazeti binafsi hayajaanza, pamoja na umiliki wa umma na serikali lakini lilijitahidi kutoa habari makini na za utetezi wa umma hasa wafanyakazi
kulikoni gazeti hili ?
Nawashauri TUCTA walifufue kwani litaweza kuwa nuru ya utetezi na kuhabarisha wafanyakazi katika mambo muhimu ya maslahi yao na ajira zao kama vile sheria hii mpya kandamizi ya mifuko ya jamii
Mimi Mdizi ni Mkulima na mfugaji
kulikoni gazeti hili ?
Nawashauri TUCTA walifufue kwani litaweza kuwa nuru ya utetezi na kuhabarisha wafanyakazi katika mambo muhimu ya maslahi yao na ajira zao kama vile sheria hii mpya kandamizi ya mifuko ya jamii
Mimi Mdizi ni Mkulima na mfugaji