Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 38
Nimesubiri kwa muda mrefu kusikia kama JK atabadi kauli yake kuwa kura za wafanyakazi hana shida nazo. Kinachonijia akilini ni kimoja tu kadiri tunavyokaribia uchaguzi mkuu. Nacho ni kuwa labda anajua jinsi ya kuzipata kura anazozihitaji au ana uhakika kuwa kura nyingine zote, zinamtosha au hana haja ya ushindi.