Wafanyabiashara wahojiwa kwa magari ya wizi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Wafanyabiashara wahojiwa kwa magari ya wizi




Na Mwandishi wetu



27th May 2009


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni












Magari 10 yanayosadikiwa kuibwa nchini Japan yanashikiliwa na polisi mkoani hapa.


Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Elias Kalinga alisema kuwa magari hayo ni kati ya 145 yaliyofanyiwa ukaguzi katika operesheni ya kukamata magari yaliyoibwa nchini humo kuanzia Juni 20, mwaka huu.


Kalinga alsiema kuwa idadi kubwa ya magari hayo yanamilikiwa na wafanyabiashara ambao wanahojiwa na polisi ili kujua jinsi walivyoyapata. Magari hayo yanayoshikiliwa ni aina ya Toyota Harrier, Mazda, Maecedez Benz na Toyota Landcruiser.


Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (Hujuma na Operesheni za Uchunguzi) alinukuliwa na vyombo vya habari akisema jeshi la polisi lingetangaza majina ya vigogo walionunua magari ya wizi kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Japan jana, lakini hakufanya hivyo.

 
Wafanyabiashara wahojiwa kwa magari ya wizi
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Elias Kalinga alisema kuwa magari hayo ni kati ya 145 yaliyofanyiwa ukaguzi katika operesheni ya kukamata magari yaliyoibwa nchini humo kuanzia Juni 20, mwaka huu.

Sasa ndugu yangu, hawa wanahojiwa kwa ajili ya magari ambayo wataiba, au ambayo tayari walishayaiba? Kwani leo ni Mei
 
Wafanyabiashara wahojiwa kwa magari ya wizi




Na Mwandishi wetu



27th May 2009


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni












Magari 10 yanayosadikiwa kuibwa nchini Japan yanashikiliwa na polisi mkoani hapa.


Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Elias Kalinga alisema kuwa magari hayo ni kati ya 145 yaliyofanyiwa ukaguzi katika operesheni ya kukamata magari yaliyoibwa nchini humo kuanzia Juni 20, mwaka huu.


Kalinga alsiema kuwa idadi kubwa ya magari hayo yanamilikiwa na wafanyabiashara ambao wanahojiwa na polisi ili kujua jinsi walivyoyapata. Magari hayo yanayoshikiliwa ni aina ya Toyota Harrier, Mazda, Maecedez Benz na Toyota Landcruiser.


Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (Hujuma na Operesheni za Uchunguzi) alinukuliwa na vyombo vya habari akisema jeshi la polisi lingetangaza majina ya vigogo walionunua magari ya wizi kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Japan jana, lakini hakufanya hivyo.

Kweli Vogue na X5 NYINGI ZA WIZI HAPA MJINI
 
Back
Top Bottom