Wafanyabiashara wa JK ,New York watapeiliwa mamilion ya pesa.....

HAWA wafanyabiashara wameyataka ...kikwete ameshindwa nyumbani kusaidia wafanyabiashara ,ataweza ugenini?.....serikali imeshaingia hasara hapo..kupeleka watalii tu...mwaka jana kuna mmoja alipeleka viatu vya chatu..sasa sijui kama walmart wangempa oda ya pea laki moja angepata wapi chatu wa kutosha..watu hawatumii akili..mimi hapa tanzania wafanyabishara wa kuambatana na rais sioni zaidi ya 20[wazawa]..but utakuta ziara zinajaaa wasanii..na msanii...

kwanza wafanyabiashara wenyewe washamba ...walilipia dinner kwenye ile hafla ya sullivan huko ...@$750... wakawa wanasubiri nje wanangoja kadi hadi sherehe imeisha .. walifikiri kadi kama nyumbani,, kumbe walitakiwa tu ku confirm reception kama wamefika ili wapelekewe kwenye meza zenye majina yao....hasara!!

Du! hii kali, nafikiri next time wata hire trainer wa kuwapa tuition ya mambo ya huko 'mbele' what a shame!
 
HAWA wafanyabiashara wameyataka ...kikwete ameshindwa nyumbani kusaidia wafanyabiashara ,ataweza ugenini?.....serikali imeshaingia hasara hapo..kupeleka watalii tu..

.mwaka jana kuna mmoja alipeleka viatu vya chatu..sasa sijui kama walmart wangempa oda ya pea laki moja angepata wapi chatu wa kutosha..watu hawatumii akili..mimi hapa tanzania wafanyabishara wa kuambatana na rais sioni zaidi ya 20[wazawa]..but utakuta ziara zinajaaa wasanii..na msanii...

kwanza wafanyabiashara wenyewe washamba ...walilipia dinner kwenye ile hafla ya sullivan huko ...@$750... wakawa wanasubiri nje wanangoja kadi hadi sherehe imeisha .. walifikiri kadi kama nyumbani,, kumbe walitakiwa tu ku confirm reception kama wamefika ili wapelekewe kwenye meza zenye majina yao....hasara!!

unachosema ni kweli wemgi walilipa na kuingia hawakuingia walitengwa na dinner yeyewe ilikuwa ya wasanii tu, akuna biashara yeyote iliyokuwa ina endelea pale, muheshimia Mengi alitoa dollar laki moja , alikuwa na kadi kumu za bure aligawia marafikizake ,

WAFANYABIASHA WENGI PIA WALISHINDWA KULIPA PESA ZILIKUWA NYINGI NA WENGINE WALISHINDWA KUAA KWENYE HOTEL ZA MJINI , BEI ILIKUWA KUBWA SANA DOLLRA 520 kwa siku bwana sikuona mfanya bisahara hata mmoja pale wemngine walikuwa wazee vichaa wanaongea ovyo wanasema watoto wa shule tanzania wanakwenda shule bila kuoga hii ni aibu gani hii.

waliyo kuwa katika mkutano wa JPMOGAN CHASE wanajua hili mpaka afisa wa ubalozi wa tanzania akasimama na kukanusa
wazungu midomo wazi.

mfanyabiashara huyo anataka pesa ya kujenga kituo cha kuogea watoto na chenye solar sysytem.

hawa wafanyabiashara waJK sijui njaa tupu.


mengine baadaye ....

NITAWALETE ALICHO SEMA Waziri Mramba pumba tupu.
 
..true hasara ..bw mengi alitoa dola 120,000 cash ku book meza kwenye dinner...akawagawia baadhi ya marafiki zake anaowakubali space..bure...wale kandambili wenzetu waliojikuna kuna kulipa space moja moja hawakujua baadhi utaratibu..wakabaki lounge wameketi wanangoja kuitwa ..ulaya hamna hizo..everything you do on your self ..no extra workers to follow you up.

ni aJabu kama mtu anajiita biz man mkubwa anakosa credit card kubwa kubwa duniani..zenye kaama tu dola milioni ...kakutumia tumia........hapo kidogo unaweza kukaa kuongea dili na wanamume wenzio...

at least pamoaja na mengi pale tungehitaji the likes of bakhressa et al..
 
..true hasara ..bw mengi alitoa dola 120,000 cash ku book meza kwenye dinner...akawagawia baadhi ya marafiki zake anaowakubali space..bure...wale kandambili wenzetu waliojikuna kuna kulipa space moja moja hawakujua baadhi utaratibu..wakabaki lounge wameketi wanangoja kuitwa ..ulaya hamna hizo..everything you do on your self ..no extra workers to follow you up.

ni aJabu kama mtu anajiita biz man mkubwa anakosa credit card kubwa kubwa duniani..zenye kaama tu dola milioni ...kakutumia tumia........hapo kidogo unaweza kukaa kuongea dili na wanamume wenzio...

at least pamoaja na mengi pale tungehitaji the likes of bakhressa et al..

kinacho ninishangaza ni wafanya biashara wa kibongo wengi walifuata mkumbo tu hawajui hali ya huku wamerudi nyumbani bila mafanikio makubwa bali wame piga picha wataonyesha walikuwa marekani
muheshimiwa Rais alikuwa na shuguli zake na wao walikuwa na biashara zao

pia ilikuwa vingumu kumuona mkuu wa nchi wengine wenye busara walikuja kwa ajili ya kumuona Rais kwa sababu kumuona hapo bongo ni vigumu sana mpaka utoe rushwa kwa GAIRO ndiyo uweze kumuona mkuu wa nchi huyo Gairo ana roho mbaya sana sijawai kuona huku dunia anafikiria hata kuwa hapo milele.

wengine walileta rushwa kwa waziri mmoja alipewa fungu na washirika wake kutoka bongo ilikuwa vigumu kumuona huyo waziri hapo bongo.

sasa jamani inakuwaje mwingine alikuja kufanya BIRHTDAY New York watu wamekuja mapumziko ,mapenzi na wake za watu siyo biashara, wengi ni wajinga wajinga tu nitakupa majina yao baadaye...

Mengi alitoa pesa nyingi sana kwa wamarekani ili awemgeni rasimi akae na JK na ndiyo ilivyo kuwa, ukumbi ulikuwa mdogo sana uwezi kusogeza meza , mengi na jk waliwekwa mbele ya sipika za wananziki wa kizaire bwana wangu ilikuwa kelele mtindo mmoja.
chakula kilikuwa kibaya sana kukuwalikuwa wanatoa harufu na waliyo kula wengi walipata food poison kwa dollar 750 kwa sahani.

jamani japo kuwa hote ilikuwa nzuri sana

asanteni
 
wazee kwa kweli naona mmeamua kuwatoa nishai hawa wababaishaji and hope next time itakuwa lesson learned...ila kila nikikumbuka jamaa wa viatu vya chatu nacheka ile mbaya.
 
Now this is serious, lete ....dataz...Mwanangu lete vitu weka hapa giladi tumkome nyani mchana kweupe!

mfanyabishara mmoja anaye miliki Real Estate Dar kwa pesa za wizi Bank Kuu BoT alitaka kumuoma JK kwa dau lolotelile, maongezi haya yalikuwa yanafanyika na mfanyabiashara maarufu wa madini mererani, kuomba kama anaweza kumsaidia kumpeleka kwa Rais.

jamani JK anajua waizi wote, pesa yako niya wizi unataka na yeye aonekane ana urafiki na wezi, vijana hao wana miliki manyumba DUBAI,UK, Tanzania MR JONSON kija aliyekuwa na zarau kuliko watanzania wote waliyo kuja na JK,
 
matajiri wengi wa bongo ni mali ya wizi wa umma na tax hawalipi na ajira hawatoi za maana zaidi ya vibarua njaa tuu kwa wapambe zao ....kwa kweli kama tuna mfanyabiashara mzawa ambaye yuko serious na kazi yake ni mzee Mengi hata kama labda ana deal zake chafu lakini anatoa serious employment kwa ndugu zetu
 
hivi inashindikana nini kwa ikulu kumpatia rais majina at least 100 [of course criteria ikiwa ni wale walipa kodi wazuri na wenye biasharea zinazoeleweka..wao ndio wanajua..]ili ikija ziara nyingine kigezo kisiwe ni kuwa na nauli tu ..bali pia kuwa na uwezo wa kibiashara....
 
Kwa nini wafanyibiashara wasubiri JK anapokwenda Marekani na wenyewe wadandie? Kama kweli ni wafanyibiashara wazuri na wakubwa, si waende wenyewe tu kwa pesa zao na wakafanye madili ya nguvu?
 
Lazima wajiproud kidogo wako na rais mstaafu wa tz hawajui kama wamezidiwa kila nyanja
 
hawa waliokua wakishusha nondo nzito namna hii
sijui walipotelea wap?
rudini wakuu mwage nondo za maana
 
Back
Top Bottom