rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
kuna nafasi nzuri za kibiashara nchini south sudan ambayo ni taifa jipya kabisa africa,
nashauri watanzania tusilale twendeni tukaangalie uwezekano wa kuwekeza
tumesikia taarifa kutoka bbc wakenya wanajaribu kufunga opportunity zote za nchi zingine
bora kujaribu kuliko kufa maskini!!
nashauri watanzania tusilale twendeni tukaangalie uwezekano wa kuwekeza
tumesikia taarifa kutoka bbc wakenya wanajaribu kufunga opportunity zote za nchi zingine
bora kujaribu kuliko kufa maskini!!