Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,837
Wananchi wa Tanzania wamekuwa katika wakati mgumu wa kununua bidhaa mbali mbali baada ya wafanyabiashara wa maduka karibu yote kufanya mgomo wa kushitukiza wakiishinikiza serikali kwa mambo matatu, ya kumpa dhamana mwenyekiti wao kitaifa,Bw.Johnson Minja,kuongezeka kwa kodi asilimia mia moja,na matumizi ya mashine za EFDS.
Akizungumzia mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea nchini waziri mwenye dhamana mkuya amesema serikali inaangalia hatua za kisheria dhidi ya wafanyabiashara wanaoendelea na mgomo huo kwani wamekuwa wakisababisha usumbufu mkubwa siyo tu kwa wananchi bali hata kwa wafanyabiashara kutoka nje.
Akizungumzia mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea nchini waziri mwenye dhamana mkuya amesema serikali inaangalia hatua za kisheria dhidi ya wafanyabiashara wanaoendelea na mgomo huo kwani wamekuwa wakisababisha usumbufu mkubwa siyo tu kwa wananchi bali hata kwa wafanyabiashara kutoka nje.