Amiri wa Mji mmoja wa Saudi Arabia ambae ni wa ukoo wa kifalme (prince) amesema atawakatia maji na umeme wakuu wa mashirika hayo mawili ili waelewe adha wanazopata wananchi kwa kukatiwa umeme na kukoseshwa maji.
Pengine viongozi wetu tunaowachaguwa kwa kura wangekuwa na moyo wa kuwajali walio wengi kama alivyoonyesha mfalme huyu.
Pengine viongozi wetu tunaowachaguwa kwa kura wangekuwa na moyo wa kuwajali walio wengi kama alivyoonyesha mfalme huyu.