Nyangumi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2007
- 507
- 17
Mwanakijiji uliyosemaq ni sahihi kabisa ila kwanza kabla ya kuifukuza hii misaada tuwapige mateke hawa viongozi wabovu( CCM). Chama cha CCM tukiweke kando ili nchi hii iweze kusukwa upya. Hatuwezi kuwa na chama ambacho kinajiendesha kwa kuibiibia serikali/ watanzania.
Tanzania ni nchi yenye pesa na ushahidi uko wazi kwenye matumizi ya serikali na Bunge. Kwa sababu tuna pesa za kutosha ndo maana tunanunua magari ya milion 100 hadi 200. Wafanyakazi wanapeana posho za vikao hadi 500,000 kwa kikao cha masaa tu.
Turekebishe kwanza uongozi ili tuweze kupata watu bora na wenye uwezo wa ku-manage pesa zetu.
Tanzania ni nchi yenye pesa na ushahidi uko wazi kwenye matumizi ya serikali na Bunge. Kwa sababu tuna pesa za kutosha ndo maana tunanunua magari ya milion 100 hadi 200. Wafanyakazi wanapeana posho za vikao hadi 500,000 kwa kikao cha masaa tu.
Turekebishe kwanza uongozi ili tuweze kupata watu bora na wenye uwezo wa ku-manage pesa zetu.