wadudu wanaowaka mwanga wa kijani usiku mnawajua?

Vipi kuhusu nguo zinazotoa cheche wakati wa kuvaa au kuvua?

Hii husababishwa na friction ya hiyo nguo na mwili ambayo kimsingi huzalisha umeme, Fanya hii simple experiment sasa hivi halafu lete feedback...

1. chukua karatasi ikate vipande vidogo vidogo sana, then chukua kalamu mfani BIC (plastic) halafu sogeza karibu na hivyo vipande vya karatasi, bila shaka hakuna kitakachotokea.
2. chukua hiyo kalamu isugue kwenye nywele mara kadhaa halafu isogeze karibu na hivyo vipande vya karatasi tena halafu tuambie kinachotokea.
Waiting.....
 
Kwa nini wana sayansi hawaja igeuza hii tech ikasaidia kuwasha taa badala ya TANESCO!!

for 100% wanatoa light 0% energy loss.

kwa balbu ya kawaida 10% ndio twapata light 90% ni energy loss loh

loh mwacheni GOD aitwe GOD..
if it was possible kumbe energ inayopotea unapowasha taa moja ingeweza washa taa 9 kama hatutapoza Energy tunapo washa taa 1.

yaani nguvu ya taa moja ingetosha washa Nyumba nzima. kama tutatumia hii God science

Ndio maana mi Naamini ALIENS wapo na wanayo technology hii...

Ushawawi kusikia LED (Light Emmiting Diodes) hizi zinatumika sehemu mbalimbali kama tv screens, vile vitaa vya kichina nk. ndo zinatumia technology kama hiyo, zinawaka kwa chemicals, kwa hiyo hilo lishafanyiwa kazi na wazungu mzee... lol
 
Nimeona Watanzania tumeamka, tunahoji kisayansi. Ebu tuanzisheni mfuko wa kuyafanyia utafiti haya. Hapo tu tutaweza kuendelea kuliko stori za mapenzi kila siku.
 
Back
Top Bottom