wadudu wanaowaka mwanga wa kijani usiku mnawajua?

Mmenikumbusha, stori moja ya watoto walioishi ama walizaliwa Uropa, ila wazazi wao wana asili ya Afrika (Bongo) na kidogo kiswahili wanakiongea, sasa wamekuja likizo uko na wamefikia shamba. Wazazi wao waliwataazalisha sana kuhusiana na Mbu na madhara yake. Usiku watoto wamelala na chandarua, na taa za shamba ni koroboi. Wakati wa kulala taa zimezimwa, mara wanawaona vimulimuli, ndivyo wanavyoitwa. Watoto wasipige kelele nini.... Eti "...Mamaaa Mbu wanakuja na taa zao, wanataka kutunyonya damuuu."
Daah! hii nayo kali
 
Kuna samaki pia wanatoa nguvu za umeme kujihami.
Ni kweli wapo, kule ziwa Tanganyika wanawaita Umeme, hii ni jamii ya kambale.
Malapterurus_electricus.jpg


[SIZE=+1]
JAREelectricus.jpg
[/SIZE]

Catfis245.jpg
 
vipo vitu vingi vinavyozalisha umeme,naamini wengi hawajui hili
kuna miti inayoota kwenye maji bahari yaliotuama,inayoitwa mwani
kuna aina nyingi za mwani moja wapo ndani ya china,xiamen hutumia kuzalishia umeme.
hivyo hao wadudu pia wanaweza kuzalisha umeme,kwani mavi yanahifadhi joto kuliko kitu chochote
kwenye picha ya mdudu huyo inaonyesha sehemu ya kutolea mavi yake ndio inayowaka........:glasses-nerdy:
 
Hao samaki wanaitwa eels au electric eels wanaweza kuzalisha umeme wa kiasi cha 650 volts wenye uwezo hata wa kuua mamba! God is amazing!
 
Wadudu ni firefiles. Wana madini yanaitwa luminon. It was discovered by Walter Russell. Isipokuwa nashangaa I cannot find the word in the chemistry dictionary. Madini haya pia yanatumika katika kutengeneza vipodozi vya wanawake,to make the women shine.
 
Nimepata darsa safi sana...Hawa wadudu (fireflies), kwasasa nahisi wametoweka maana hawaonekani kabisa...
 
Hata mwanadamu aliumbwa na Receiver sema tu miaka ya sasa wanapuuzia na kuona ni ujinga.

Siku hizi ukimwona mtu ana nywele ndefu kwa sababu ya imani mfano Washiva au Native Americans, mtu anaona ni kupitwa na wakati.

Nywele kwa mwanadamu ni Powerfull sana, Hair is an extension of the nervous system and it emits energy from the brain into the outer environment. Its an information highway reaching the brain, so when hair is cut, receiving and sending transmissions to and from the environment is hampered.

Ndio maana watu wa kale walikuwa wanaamini Nywele ni symbol ya Power and Wisdom, Mfano Musa, Yohana mbatizaji, Yesu, Daudi, Solomon na hata Samson walikuwa nanaamini nywele kama Energy transmiter. Na kuna hata wanasayansi walioamua kuishi bila kukata nywele kuona umuhimu wake mfano Isack late Albert Einstein .

Ni kitu ambacho sasa hivi kina ushahidi wa kisayansi. Sema they must be Natural ili zifanye kazi vyema ndio maana ukishika umeme nywele husimama na kufeel umeme.
 
hawa wadudu wanaitwa fireflies huzalisha mwanga kwasababu ya
chemical reaction ndani ya miili yao. Calcium,
adenosine triphosphate (ATP), substrate
luciferin, na kichocheo (enzyme) kiitwacho luciferase vyote huusika katika kiunga cha kuzalishia mwanga. oxygen ndio huchochea hii reaction kufanyika na matokeo yake huwa mwanga. Nitric oxide ndio hasa uchangia kuingia kwa oxygen ndani ya kiungo cha uzalishaji mwanga ambapo reaction hutokea.
Na jambo moja zuri kuhusu uzalishaji wa mwanga huu hakuna energy inayopotea kwa njia ya heat kama kwenye bulb au vifaa vingine vya kuzalisha mwanga. Hii njia haizalishi joto.

Kwa nishani ya google
 
Hao samaki wanaitwa eels au electric eels wanaweza kuzalisha umeme wa kiasi cha 650 volts wenye uwezo hata wa kuua mamba! God is amazing!

Duuu! Mungu anatisha!!
Inakuaje wengine hawaamini kuwa Mungu alimtuma mwanae wa pekee aje aukomboe ulimwengu?!!
 
Mimi kuna dawa ambazo nilikuwa nikizimeza kwa ajili ya matibabu zikawa zinasabisha mwili wangu kuwa na umeme lakini nilipomaliza dozi sikuona tena ama kuhisi hicho kitu
 
Back
Top Bottom