hao wadudu wanaitwa fireflies. So, google FIREFLIES utapata jibu.
function collection google(String keyWord){
Collection results = internet.goGoogleDotCom.searchWeb(keyWord);
return results;
}
function void main(null)
{
String keyWord;
if (iDontKnow(keyword) == true){
Collection answers = google(keyWord);
}else{
giveFacts.about(keyWord);
}
}
Haya wana sayansi wa jf, nina swali langu hapa. Bila shaka mmesha waona wale wadudu ambao hutoa mwanga wa kijani usiku, mwanga huo huwaka na kuzima, hivi ina maana wadudu hawa wana umeme kama sio sasa inakuwaje wanatoa mwanga?
global warming....+ serengeti road construction..tutabaki wenyeweAlafu hawa wadudu wako kwenye distiction wakati niko mdogo walikuwa wengi sana kijijini siku hizi nikienda siwaoni.
Haya wana sayansi wa jf, nina swali langu hapa. Bila shaka mmesha waona wale wadudu ambao hutoa mwanga wa kijani usiku, mwanga huo huwaka na kuzima, hivi ina maana wadudu hawa wana umeme kama sio sasa inakuwaje wanatoa mwanga?
wanaitwaje mkuu ili tucheck kwa google!Kuna samaki pia wanatoa nguvu za umeme kujihami.