Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
jisajili na mtandao mwingine kisha wapigie watu kuwajulisha una line ya ziada na wa isave !Bado nipo njia panda.. Ukizingatia nikihama mtandao nitaidhuru biashara yangu, coz wengi huwa wananipigia na wanatumia tigo. nifanyeje ili kubalance mawasiliano kwa wateja wangu