wadau wa filamu bongo fungueni macho nje ya mipaka

johnmashilatu

JF-Expert Member
Sep 16, 2010
718
703
wadua wa jf
niko katika mji wa osnabruck nchini ujerumani ambako kesho kunazinduliwa tamasha kubwa la sanaa linalokwenda kwa jina la 24th Eupoean media art festival. sanaa za aina mbalimbali zinashirkishwa

katika tamasha hilo filamu kutoka maeneo mbalimbali duniani hupokelewa na baadaye kuchaguliwa zilizobora ambazo hupatiwa tuzo.

waandaaji wanasema kuwa hakuna msanii au mwandaaji wa filamu hata mmoja kutoka afrika mashariki na kati am,bao wamewahi kushiriki katika tamasha hilo ambalo ushiriki wake ni bure

wanachotakiwa kufanya wasanii wetu ni kwenda katika Home na kupata maelekezo ya kujisajili.

bila shaka ujumbe huu utawafikia wasani wetu ambao hutumia muda mwingi kulalamikia kutofaidika na jasho lao,kumbe wanaweza kutumia njia nyingine pia kufaidi jasho hilo.

Nawakilisha
 
Mkuu asante kwa kutuhabarisha. Unajua sisi wadau wa filamu tumezoea kufukiri ndani ya box tu. Tunadhani maonesho kama hayo ni ya Ulaya pekee. Tutafanyia kazi. Asante tena kwa taarifa.
 
Pole wee, Tanzania hakuna filamu. Hapa kuna home-made videos ambazo hutayarishwa na Kanumba, huigizwa na Kanumba, huwa directed na Kanumba, co-staring Kanumba, written by Kanumba, edited by Kanumba and Cameras by Kanumba. Wateja wake wengi ni akina mama wenye huzuni au wale ma house-maid pamoja na mabinti wa shule (form 2 and below ambao pia humpenda Marlow).

Eti waje ulaya kuonesha nini? Be serious
 
Pole wee, Tanzania hakuna filamu. Hapa kuna home-made videos ambazo hutayarishwa na Kanumba, huigizwa na Kanumba, huwa directed na Kanumba, co-staring Kanumba, written by Kanumba, edited by Kanumba and Cameras by Kanumba. Wateja wake wengi ni akina mama wenye huzuni au wale ma house-maid pamoja na mabinti wa shule (form 2 and below ambao pia humpenda Marlow).

Eti waje ulaya kuonesha nini? Be serious
Zaidi ya hayo Filamu zenyewe zimetungwa na kuandikwa ndani ya wiki moja! Actor mmoja anauwezo wa kutoa filamu mpaka tatu kwa mwezi halafu anajiita Super Star!
 
Pole wee, Tanzania hakuna filamu. Hapa kuna home-made videos ambazo hutayarishwa na Kanumba, huigizwa na Kanumba, huwa directed na Kanumba, co-staring Kanumba, written by Kanumba, edited by Kanumba and Cameras by Kanumba. Wateja wake wengi ni akina mama wenye huzuni au wale ma house-maid pamoja na mabinti wa shule (form 2 and below ambao pia humpenda Marlow).

Eti waje ulaya kuonesha nini? Be serious

Huwa naogopa kusema uliyoyasema kwa kudhani nawaza hivyo peke yangu na watu wangenizomea, kumbe tuko wengi.
 
Akina Kanumba na wenzake wanajaribu kufanya kile kinachowezekana, na ndicho wanachofanya. Suala la filamu linahitaji kuwa na INDUSTRY. Na si rahisi kuwa hivyo bila support ya serikali. bahati mbaya tuliyonayo Bongo hakuna utashi huo badala yake kinachofanyika ni biashara kati ya kanumba na wadosi. Nilidhani badala ya serikali (TBC -shame on you) kuagiza TAMTHILIA iliyotafsiriwa kwa kiswahili kutoka china mngetafuta MWALIMU wa "ACTING FOR THE CAMERA" ili tupate waigizaji kama hao wa china ili tuwe na kazi zetu za maana. Waigizaji wetu wakipewa SCRIPT zinazotumiwa HOLLYWOOD wote wanatoka kapa na ndio maana Kanumba na Ray wanaandika wenyewe. SHULE KWANZA kama tunataka kuwa na FILAMU. Angalau upande wa CAMERA tuna watu kama ADAM JUMA namkubali huyu jamaa kwenye eneo hilo. wanachopigania wasanii wetu ni HATI MILIKI wanachowaza wao ni hela. Piganieni shule ya ACTING koz acting is not a joke kama mnavyofanya my friends. na nyie kina Kanumba mnapozichanga hela za wadosi tafuteni shule sio kununua magari. Mnamtegemea nani awetafutie shule ? Mdosi anachotaka ni hela dili yenu kwake ikiisha na urafiki unaisha mimi nawajua hawa jamaa.
 
Akina Kanumba na wenzake wanajaribu kufanya kile kinachowezekana, na ndicho wanachofanya. Suala la filamu linahitaji kuwa na INDUSTRY. Na si rahisi kuwa hivyo bila support ya serikali. bahati mbaya tuliyonayo Bongo hakuna utashi huo badala yake kinachofanyika ni biashara kati ya kanumba na wadosi. Nilidhani badala ya serikali (TBC -shame on you) kuagiza TAMTHILIA iliyotafsiriwa kwa kiswahili kutoka china mngetafuta MWALIMU wa "ACTING FOR THE CAMERA" ili tupate waigizaji kama hao wa china ili tuwe na kazi zetu za maana. Waigizaji wetu wakipewa SCRIPT zinazotumiwa HOLLYWOOD wote wanatoka kapa na ndio maana Kanumba na Ray wanaandika wenyewe. SHULE KWANZA kama tunataka kuwa na FILAMU. Angalau upande wa CAMERA tuna watu kama ADAM JUMA namkubali huyu jamaa kwenye eneo hilo. wanachopigania wasanii wetu ni HATI MILIKI wanachowaza wao ni hela. Piganieni shule ya ACTING koz acting is not a joke kama mnavyofanya my friends. na nyie kina Kanumba mnapozichanga hela za wadosi tafuteni shule sio kununua magari. Mnamtegemea nani awetafutie shule ? Mdosi anachotaka ni hela dili yenu kwake ikiisha na urafiki unaisha mimi nawajua hawa jamaa.

Wewe ni fyatu ndio....lakini umeandika vitu vya msingi sana! Very good advice umetoa.
 
Pole wee, Tanzania hakuna filamu. Hapa kuna home-made videos ambazo hutayarishwa na Kanumba, huigizwa na Kanumba, huwa directed na Kanumba, co-staring Kanumba, written by Kanumba, edited by Kanumba and Cameras by Kanumba. Wateja wake wengi ni akina mama wenye huzuni au wale ma house-maid pamoja na mabinti wa shule (form 2 and below ambao pia humpenda Marlow).

Eti waje ulaya kuonesha nini? Be serious

Na filamu zenyewe ni ushuzi mtupu.
yaani kila movie ni part 1 na 2, then ukiangalia cha kuweka part zote hizo ni ushuzi mtupu.

Kwanza muda mwingi hupotea kwa kazi bure tu, yaani unaweza kukuta Kanumba anatembea kuanzia Mlimani City mpaka Mwenge huku Camera inamchukua tu.
Ye anatembea mara achume jani atafune, mara apige teke kopo, then camera inamchukua tu huku instrumental inarindima tu...

Yaani muda mwingi wa movie hupotea kipumbavu kabisa.

sioni sababu ya hizo movie hata kuonyeshwa kwenye mabanda ya kuonyesha mapicha huku uswahilini, coz hazina viwango, ubora au mvuto.


Huwezi kuifananisha movie yoyote ya hapa Tanzania na movie kama Tsotsi, au movie kama wit licht, au movie kama the white Masai.


Kanumba, Ray na ushuzi wenzenu nendeni shule ili mfaidike na vipaji mlivyonavyo.
 
Au utakuta kale ka instrumental kana sauti kubwa kuliko hao waigizaji...yaani hawasikiki kabisaa... Lakin wanaongozwa na director kabisaaa, na shugghuli nzima ya editing huwa inafanyika...sijui ni vipi hawa watu jamani..
 
Au utakuta kale ka instrumental kana sauti kubwa kuliko hao waigizaji...yaani hawasikiki kabisaa... Lakin wanaongozwa na director kabisaaa, na shugghuli nzima ya editing huwa inafanyika...sijui ni vipi hawa watu jamani..

Haswaaa mkuu
 
Pole wee, Tanzania hakuna filamu. Hapa kuna home-made videos ambazo hutayarishwa na Kanumba, huigizwa na Kanumba, huwa directed na Kanumba, co-staring Kanumba, written by Kanumba, edited by Kanumba and Cameras by Kanumba. Wateja wake wengi ni akina mama wenye huzuni au wale ma house-maid pamoja na mabinti wa shule (form 2 and below ambao pia humpenda Marlow).

Eti waje ulaya kuonesha nini? Be serious

Duh! Hii kali.. But ukweli ndio huo bongo filamu bado sanaaaaaaaaa.....
 
Mkuu asante kwa kutuhabarisha. Unajua sisi wadau wa filamu tumezoea kufukiri ndani ya box tu. Tunadhani maonesho kama hayo ni ya Ulaya pekee. Tutafanyia kazi. Asante tena kwa taarifa.

Pia Luga ni tatizo kubwa kwa wasanii wetu, hata kutembelea mitandao mbalimbali through internat hawana kabisa hiyo obi kabisa
 
Pole wee, Tanzania hakuna filamu. Hapa kuna home-made videos ambazo hutayarishwa na Kanumba, huigizwa na Kanumba, huwa directed na Kanumba, co-staring Kanumba, written by Kanumba, edited by Kanumba and Cameras by Kanumba. Wateja wake wengi ni akina mama wenye huzuni au wale ma house-maid pamoja na mabinti wa shule (form 2 and below ambao pia humpenda Marlow).

Eti waje ulaya kuonesha nini? Be serious

so so so sad kwa kuja kuendela ni ngumu
 
Kwakweli kama wasanii waTz wanampango wa kuitunza kazi yao wajiingize kwenye mauzo ya kimataifa kwani watakuwa na watakutana na challenge za kuwaelimisha
 
Mkuu Shine.

Ebu tuambie ni kazi gani ziingizwe au unazungumzia upuuzi wa kanumba na Kagosi sijui Kigosi ?.Kazi zao zinatakiwa ziishie Manzese na Uswahilini Ulaya hawana muda mchafu.


Kwakweli kama wasanii waTz wanampango wa kuitunza kazi yao wajiingize kwenye mauzo ya kimataifa kwani watakuwa na watakutana na challenge za kuwaelimisha
 
Back
Top Bottom