Nyumba ndogo haina faida yeyote, rather you will face the following problems:
Just few, zingine wadau ongezeeni.
- Kuporomoka kwa hali yako ya uchumi kutokana na kuhudumia familia mbili
- Uwezekano wa kupata magonjwa hatari kama ukimwi na magonjwa ya zinaa kuongezeka.
- Kutokujiamini hasa mbele ya mkeo na kuishi kwa sasiwasi ukihofia mkeo asijue una nyumba ndogo
- Kumkosea Mungu wako
- Stress za kila siku hasa ukifikiria uwezo wa kuishi naye na kuwa huru nae huna, so inawezekana pia kuwa wenzio wanakusaidia kazi hasa mida ya usiku wakati uko na mkeo wa ndoa
wadau wote wa JF katika column hii plse naomba mniambie faida ya nyumba ndogo na kwa nini wanaume walio wengi wanapenda nyumba ndogo,kuna jamaa yangu kaoa juzi tu lakini tayari kwa sasa ana nyumba ndogo
hakuna!!!!wadau wote wa jf katika column hii plse naomba mniambie faida ya nyumba ndogo na kwa nini wanaume walio wengi wanapenda nyumba ndogo,kuna jamaa yangu kaoa juzi tu lakini tayari kwa sasa ana nyumba ndogo
msitudanganye,wengi humu mnajitia kukandia,mkishakutoka jf tu,inakuwa kinyume chake.