Wadau,Msaada!

EJay

JF-Expert Member
May 21, 2012
693
172
Je,fedha za field ni sawa kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu mwaka huu? Au inaendana na asilimia uliyopata kutoka HESLB? Kwa mfano kuna watu wamepewa Tsh 2,400,000/= halafu boom na vitabu ni 2m,ada nayo 2m ukipiga math ni kuwa ana 10% kama hela za field ikitolewa kuzingatia asilimia za mkopo.

Wadau naomba mnieleweshe ktk hili kwa kuwa kuna watu wengi tu walipata 2.2m,2.3m.

na Mwenyenzi Mungu Awabariki.
 
Back
Top Bottom