Mkuu ,
si uachane tu na hayo makitu ?
Kwa nini ujikalifishe kuoga na nguo ?
While muda wa kuoga itakikanavyo uoge hua haukawii ?
mpenzi, ushauri gani huo?
....au ni psychological problem...
....yani nikifanya mapenzi na binti kwa kutumia MPIRA.... ile harufu hudumu ngozini wiki nzima...... na siiipendi..... wanaume wenzangu what do u do to get rid of that.......... heelllpppp pz.
Mbona ushauri mzuri tu ?
Si asubiri muda wake wa kula pipi iliomenywa ufike? Instead of pipi na maganda !
...achana na MSD...tunaotumia Louis Vuitton mbona hatupatagi matabu...ukimaliza chezo unapandisha suruali unaenda...afu ukikutana na mtu anakuuliza e bana hiyo perfume yako inaitwaje??
...Louis Vuitton...ndo naiskia hapa...ni aina ya "mpira"?