Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Ndugu zangu kuna jambo linanitatiza kidogo, nimemuona mkuu wa Kaya over the week end mitaa ya mlimani city ambako pamoja na mambo mengine naambiwa kulikuwa na show ya wanamuziki fulani wa kutoka nje ya Kaya, na kwa taarifa nilizozipata jana sasa yuko Italia!!
Lakini sijasikia kama alipita pale Same kuwapa pole ndugu zetu waliokumbwa na msiba mzito!!
Wadau mtanisahihisha if I'm wrong!!
Lakini sijasikia kama alipita pale Same kuwapa pole ndugu zetu waliokumbwa na msiba mzito!!
Wadau mtanisahihisha if I'm wrong!!