Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Nilipokuwa mdogo nilifikiri kuwa wanawake ni wapole, waliojaa huruma, lakini haya kwa 90% yamepotea kwa kadri ninavyoishi. Nimekuja gundua wanawake wanaongoza kwa manyanyaso na mateso kwa ktk jamii zetu wanapopata wasaa!
hii inaonekana majumbani, mama kuchukia watoto wa mwanamke mwezie, maofisini vurugu tupu, kwa kifupi wengi wao ni makatili sana. Naomba mnisaidie hivi haya yanatoka wapi?
hii inaonekana majumbani, mama kuchukia watoto wa mwanamke mwezie, maofisini vurugu tupu, kwa kifupi wengi wao ni makatili sana. Naomba mnisaidie hivi haya yanatoka wapi?