JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 497
Sio siri kama unataka mwenza classic kwenye tabia flaniflani, wadada wa kichagga ni kiboko. Ikitaka mashepu ya kibantu yapo machame, ukitaka wazuri wa sura wapo marangu, Ukitaka wapole wa tabia wapo tarakea na usseri (rombo), ukitaka wachakarikaji ni wachagga wote lakini hasa mashati (rombo), ukitaka sauti za kubembeleza nenda uru au mkuu (ila uwe makini manake hazireflect upole), ukitaka vichwa madarasani na maishani nemda rombo marangu ukitaka weupe, warembo, n.k ila kama humaindi miguu, wachaga ni saiz yako.
Lakini; Wachagga (wadada) hawajui mapenzi. Wadau wengi wanasema wadada wa kichaga ni malembukeni kwenye mapenzi, ni waoga, ukiwa nao chumbani utadhani unaamrisha kikosi jeshini, sio wabunifu wa vionjo vya mapenzi... Yani unaweza kuingia chumbani na mwanamke mchaga kwa lengo la malavidavi, gafla anaanza kukuambia "yani aisee haya mashuka yalivyo mazuri ungeyatembeza kule kibosho kuuza utapata hela, yani mamdogo manka ametajirika hivi hivi kwa hii biashara"....
Wadada wa kichaga, badilikeni banaa.. sio fresh.
Talking from experience Mr???
Si kila mdada wa kichagga yuko hivyo i guess ni huyo/hao uliokutana nao wamekufanyia hivyo wewe unajumuisha kila mtu. Mark the bolded text. Sie ni wazuri sana mungu katujaalia kila kona ya mwili hata kama miguu haijakaa sawa angalau tunatembea kuliko kukosa kabisa miguu (no offence intended).
Muache kutusemasema kila siku instead sema na demu wako anayekulet down mkiwa chumbani........................:frown: