Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
si mchana nipo jamani....mambo yote ikiwemo mpodo tumamaliza mchana....burdaaani my!
Mchana unakuwa umelewa usingizi tu wa kukesha, unapiga mbonji ka pono hata hakuna la maana!
si mchana nipo jamani....mambo yote ikiwemo mpodo tumamaliza mchana....burdaaani my!
Husninyo umemgwaya!
jaribu kumpm ku pm kila ID unayodhani ni mdada then ukipata reply unga humo humohumo,ila ukipata gumegume shauri yako
hahaha pamoja sana mkuu....my!
mimi ukiwa mweupe sikutaki
Hebu kama upo singo coment hapa ili watu tupate kujimwaya mwaya ebo.....uchoyo tu bana...my!
cjamgwaya ila kwa utaalam wangu lazima wewe utakua mtam kuliko lol! my!
Wewe kama hujarudi hapa na thread ya kulalamika kupigwa mizinga......? Bora uende keko machungwa kuna gongo ya mia 500!
usiogope beibee
Hivi kumbe kweli we ni security guard?? Na Husninyo ulikuwa nae, naona mlipotea wote kwa pamoja!
Mystry bonge la pedejee nasikia,nyumbani kwake masaki utadhani yadi kapanga S class,mi vogue,li hammer,BMW nyumodo,ukitabasamu tu anakupiga na rav 4 mpya,of cousre kila jumamosi Le gemma zanzibar, ushawahi kufika le Gemma ? chumba dola 3000 na unakuwa na private swimming pulu yako, we m PM tu uonje pepo ukiwa duniani hapa, au vipi Mysteryman?
khaaa! Ukikosa mchumba usije kunililia.
kabisaaa,wala usiwe na wasiwasiDuh, kazi ipo. Kwahiyo mi mweusi niandae posa kabisa au?