Wadada wa JF Mnanipagawisha

kisa cha kupotea hivyo? Bado kidogo nikuanzishie thread la maombolezo. Lol. Mi sijambo, safari usikonde kabisa. Sema lingine.

Nipo maidia napigika kutafuta nguo ya sikukuu......na mpaka nilipofikia bila bila. Mbona unampgawisha mtoto wa mwenzioo.....unajua uanapata zambi?
 
Mweh! Nahisi mie sio mdada wa jf! Kama nimempagawisha pure noma tena! Kha! Pawagishaneni! Asante hakimu kwa hukumu ya maneno haya
Kupagawa ni kuhemkwa na kuhemkwa ni kunogewa na kunogewa ni kufurahishwa na kufurahishwa kwatokana na utamu unaccountable!
 
Asante mwaya,kwa kutuaprisieti,
Nami nakutakia x-mass njema na mwaka mpya wenye mafanikio.
 
Unasifia kinanda ukaacha kumsifu mpiga Kinanda ? Unasifia majina! Ukaacha kuwasifu wenye majina?
Sasa waulize baada ya majina yao mazuri NA YALE MAMBO YETU WANAYAWEZA ? hivi hujakutana na wadada jina tamu ajabu! Kwenye game mweuuupe!
we naweeee..... Ushongo tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom