Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si kweli sasa mbona wengi hamjaolewa!!
Ivuga naona kitabu kinakubana sana kaka?Michael Scofield mambo vipi mtu wangu
There u come again; mwanzo uliwaponda wakaka wa JF kuwa wanachezea tu wadada, nao kina dada r not serious, R u?
Wewe ulitaka wakuulizaje, size ya mkuki au?
Hivi unaijua jf unaisikia,kuna watu humu wanajitia wanawake lakini wanatembea na vikopo vya vaseline,kalagabaho!
Ps:
Kama uko serious unatafuta mwenza kama mkristu anza kuimba kwaya,au ka vipi angaza angaza kazini,harusini na kwenye mikusanyiko kama hiyo.
Sikujui hunijui unafikiri nitauliza nini? Tena bahati yako hujakutana na mimi maana nauliza mpaka cheti cha VVU sorry HIV test na kimo chako maana short chases sishobokei, shogaangu yeye anataka mpaka rangi na je umekaanga meno au mambo ya whitedent YES....Lol
Tatizo lenu wanaume mnafikiri sisi wanawake hatuchagui, na wasiochagua ndo mkiwapata ndani hawakai
si kweli sasa mbona wengi hamjaolewa!!
Sikujui hunijui unafikiri nitauliza nini? Tena bahati yako hujakutana na mimi maana nauliza mpaka cheti cha VVU sorry HIV test na kimo chako maana short chases sishobokei, shogaangu yeye anataka mpaka rangi na je umekaanga meno au mambo ya whitedent YES....Lol
Tatizo lenu wanaume mnafikiri sisi wanawake hatuchagui, na wasiochagua ndo mkiwapata ndani hawakai
There u come again; mwanzo uliwaponda wakaka wa JF kuwa wanachezea tu wadada, nao kina dada r not serious, R u?
Wewe ulitaka wakuulizaje, size ya mkuki au?
Hivi unaijua jf unaisikia,kuna watu humu wanajitia wanawake lakini wanatembea na vikopo vya vaseline,kalagabaho!
Ps:
Kama uko serious unatafuta mwenza kama mkristu anza kuimba kwaya,au ka vipi angaza angaza kazini,harusini na kwenye mikusanyiko kama hiyo.
Vile vile unaweza kuona mtu ana ID ya kike, avatar ya kike, Kumbe kidume mwenzio.... kalagabaho! fuata ushauri wa Bishanga kwa kutafuta mwenza sehemu alizokuambia.
nilikuambia utume picha mbona hujatuma
wewe ndo haupo serias
hahaha tuko full ndo maana hakuna aliyekuwa serious
Kila mtu yuko commited pole
kuulizwa kabila na kazi unayofanya ni mambo ya kawaida sana, usije kuwa na mtu unaemzidi salary times 3 then badae iwe.... oooh ananinyanyasa kisa anazidi kipato.. mara sijui nn... funguka kijana, ;If you will be serious they will be Serious too.'
Sikujui hunijui unafikiri nitauliza nini? Tena bahati yako hujakutana na mimi maana nauliza mpaka cheti cha VVU sorry HIV test na kimo chako maana short chases sishobokei, shogaangu yeye anataka mpaka rangi na je umekaanga meno au mambo ya whitedent YES....Lol
Tatizo lenu wanaume mnafikiri sisi wanawake hatuchagui, na wasiochagua ndo mkiwapata ndani hawakai
Sasa ulitaka wakuulize maswali gani??hebu jichagulie maswali mwenyewe lol!
Kwa nini usitafute mpenzi/mke kwenye mazingira yaliyokuzunguka live,huku mitandaoni ni very risk!