MadamT mbona unauliza majibu? Sifa kuu ya viserengetiboys ni kuingia chumvini hadi sugamami anachizika! Hivi ulikuwa hujui kwa nini wanamuziki wa kizaire wanatunyang'anya wake zetu?
ni kama wiki sasa kwenye magazeti ya udaku habari ikiwa ni shyrose-jaffarai
jafffarai anadai ni mchumba wa shyr kwa miaka minane na walipanga kupata mtoto.
hivi inaingia akilini miaka minane no mimba bila kasoro?nijuavyo kama mwanamke una kasoro mwanaume hukuacha haraka kwa hiyo jeff anamaswali ya kutujibu
jeff anaende studio anamchana shyr, clouds fm inampaka tope shyr for personal issues tena ana generalize wanawake.
my take:jeff kama hatadhibitiwa ataenda clouds tv nakuonesha nguo za ndani za shyr hence wanawake wote watadhalilika.wanaume wanaolelewa lazima wajifunze kujitegemea+nidhamu sio kushinda vijiwe wakila pombe na sigara wakiachika waanza kulialia hadharani na mikwara feki.
shyrose anahaki ya kuwa na mtu amtakaye...hilo jeff linaliaaaa
Ni kama wiki sasa kwenye magazeti ya udaku habari ikiwa ni SHYROSE-jaffarai
jafffarai anadai ni mchumba wa SHYR kwa miaka minane na walipanga kupata mtoto.
Hivi inaingia akilini miaka minane No mimba bila kasoro?Nijuavyo kama mwanamke una kasoro mwanaume hukuacha haraka kwa hiyo Jeff anamaswali ya kutujibu
JEFF anaende studio anamchana SHYR, clouds fm INAMPAKA TOPE SHYR for personal issues tena ana generalize WANAWAKE.
My take:Jeff kama hatadhibitiwa ataenda clouds Tv nakuonesha nguo za ndani za SHYR hence wanawake wote watadhalilika.Wanaume wanaolelewa lazima wajifunze kujitegemea+nidhamu sio kushinda vijiwe wakila pombe na sigara wakiachika waanza kulialia hadharani na mikwara feki.
SHYROSE anahaki ya kuwa na mtu amtakaye...hilo jeff linaliaaaa