Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaenda siku upo kwenye moon
Hahahaha heheheLeo umeamka vizuri kweli haya mapoint ningekuwa bado msichana ningeyatekeleza
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa
sijakuona siku nyingi kweli ? upo mkuu na Katavi piaMhhhhh_this does not work in the real world
1.Wanaume wengi almost(though doesn't count) 98% hatuwezi kuvumilia kufukuzia miezi 6 bila ku do.
2.Kupendeza hiyo ni sawa kabisa...twapenda wasafi na wanaopendeza.
3.Kuwa natural ni suala zuri na it pays in long run
4.Yap_mizinga inaboa sana,na hasa unapogundua unafanywa ATM
5.Mawasiliano muhimu_lakn yale ya usiku wengine hatupendi..kwa hiyo kuwa makini
6.Suala la kutambulishwa kwa jamaa zenu wengi hatujali ki vile...hivyo sio issue
7.Hii habari ya kwenda church/msikitini nayo sio issue kwani tumeona wengi wanamahudhurio mazuri sana lakn hovyo mpaka kinyaa...hivyo take it easy
8.Kama ghetto karibu sana na wala hakuna noma..ila kumbuka kuvunja hiyo no.1-kama hauwezi basi na wengine hatuna uvumilivu wa hilo.
9.Hilo la angaza poa...kama vip kinga zipo
Ntaendelea kutoa ushirikiano kadri ninapopata nafasi_maake wateja wa kushona na kubrash viatu ni wengi...si unajua mambo ya jua na vumbi.
sijakuona siku nyingi kweli ? upo mkuu na Katavi piaMhhhhh_this does not work in the real world
1.Wanaume wengi almost(though doesn't count) 98% hatuwezi kuvumilia kufukuzia miezi 6 bila ku do.
2.Kupendeza hiyo ni sawa kabisa...twapenda wasafi na wanaopendeza.
3.Kuwa natural ni suala zuri na it pays in long run
4.Yap_mizinga inaboa sana,na hasa unapogundua unafanywa ATM
5.Mawasiliano muhimu_lakn yale ya usiku wengine hatupendi..kwa hiyo kuwa makini
6.Suala la kutambulishwa kwa jamaa zenu wengi hatujali ki vile...hivyo sio issue
7.Hii habari ya kwenda church/msikitini nayo sio issue kwani tumeona wengi wanamahudhurio mazuri sana lakn hovyo mpaka kinyaa...hivyo take it easy
8.Kama ghetto karibu sana na wala hakuna noma..ila kumbuka kuvunja hiyo no.1-kama hauwezi basi na wengine hatuna uvumilivu wa hilo.
9.Hilo la angaza poa...kama vip kinga zipo
Ntaendelea kutoa ushirikiano kadri ninapopata nafasi_maake wateja wa kushona na kubrash viatu ni wengi...si unajua mambo ya jua na vumbi.
safi kaka miss u big ! mbona kimya jamani? wapi Saint Ivuga naeNipo bidada, mzima wewe?