mimi ni kijana mtanashati sana na nimemaliza elimu ya chuo kikuu. bado kazi yangu sio stable sana ila naitaji nipate mwanamke ambae tunaweza kuishinae. awe mzuri kwa sura tabia na akivaa nguo ziwe zinamkaa. asiwe mnene wa kupiliza kwasababu mimi huwa nabuni mavazi so ya watu wanene siwezi na hawanipi midadi. kama kunayeyote ambae yuko serious tafadhali tuwasiliane.
ndio kwanza kamaliza chuo kikuu,.....asake mahela ndio mpango mzima_...hiyo habari ya utanashati na kumaliza chuo kikuu ni ubatili mtupu,.....akikua ataacha huyu