Neno "Romantic" maana yake nini?
We si mwanaume wa kibongo!!!?Jichunguze utapata jibu....wanawake wanawasemea tu il nyie ndo mnaojua ukweli!!
mimi nadhani nahitaji kujua zaidi.......manake 1st gf alinitosa baada ya kudate kwa zaid ya 3yrs bila ku du, wa pila akanikimbia naye hatuku du,mpaka leo nina 30 yrs sija du yaani bado virgin kwani naogopa maumivu ya kukimbiwa tena,so wanaume wa bongo tukoje?????????
Eiyer........Mmmmh!Ila we m...t...m!!!!
Mko kama mlivyo....jichunguze!mimi nadhani nahitaji kujua zaidi.......manake 1st gf alinitosa baada ya kudate kwa zaid ya 3yrs bila ku du, wa pila akanikimbia naye hatuku du,mpaka leo nina 30 yrs sija du yaani bado virgin kwani naogopa maumivu ya kukimbiwa tena,so wanaume wa bongo tukoje?????????
Mi sina list....na wote nnaowajua sio wa bongo!!Lakini shangazi si umwambie unavyowaona wewe kama mwanamke?Hebu kagua kwenye list yako utaona tu!
namaanisha hao wa Radion sio wewe, coz imekutakiza km mimi ilivyoniboa! Umenipata mkuu?Kivipi tena?