Wadada na wakaka wa kihaya mpooooo??????

Ingia hapa-https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/17257-wahaya-tunachunguzwa-sana-katika-mapenzi-why.html?highlight=

Son upo? subiri niipitie hiyo thread ya kihaya..umefichwa wapi weye mutu??

Mtarajiwa kila la kheri..ukaribie Bukoba ipasavyo!!
 
Ukienda kuolewa just be positive na katika ndoa kila kitu kipo,kikubwa kuwa mstahimilivu na mpende na kumheshmu mmeo

Kuna senene,togwa,rubisi(karinya),mvua za kutosha,ndizi aina 100,samaki,baridi,umeme vijijini n.k

Uhusino utaudumisha ama utauharibu mwenyewe,kitu cha katerero kama altare i.e ni cha kufikia

Karibu sana,onyegere nakanyeto!
 
Nimebahatika kupata mchumba wa kihaya,,,kanyigo na natarajia kufika huko kwao december. Zaidi naomba mnijuze nikifika huko nitarajie nini na baada ya ndoa nitarajie vitu gani kutoka kwa huyu mume wa kihaya? Maana mimi ni mbondei.
Mh! Sikufahamu kuwa Kupata Mchumba Mhaya ni Bahati!! CV yako kama ipo Chini basi ni Bahati kweli..Hongera Sana Toto la Kitanga... Kwa bahati yako uliyopata... ukifika ukweni Hili neno usiache kulitamka Uwagambire ''Waikora Waitu'' Yaani Asante Sana... Kila wakikupa kitu chao... Utakula Senene na Matoke... ''Iwe'' na pia usimnyime mtu huko kitu ambacho si Chako!

Na Pia ukishaolewa Usiache Kuendelea na Masomo Wakwe wanaweza kukuanzishia Zengwe... Angalizo tu hilo... na uwe Mvumilivu kwenye Ndoa... ukibahatika tena kuolewa..!
 
wszVvsvQpZsZAAAAABJRU5ErkJggg==
Hawa Wenzako uwe na uvumilivu nao!
 
Hongera mwaya we!!!
Umpende sana mzee mtarajiwa na wakwezo pia uwe mvumilivu kwa vyote!!!
 
Be yourself. Wanawake wengi wanachemsha baada ya muda kwa kuwa wanakuwa ni good pretenders. Nategemea kama binti wa kiafrika una tabia ambazo ni universal kwa waafrika kama kuwa na heshima kwa wakubwa, ukarimu kwa wageni, na vitu kama hivyo. Hizi ni tabia za kibantu.

Wahaya heshima ni kitu muhimu sana unlike makabila mengine ambayo unaweza kuta mtoto anamtukana mama kwa wahaya hiyo kitu inaweza fanya uwekewe kikao cha ukoo.

Otherwise tenda yaliyo mema...ukikutana na ghubu lipotezee as long as wewe ume play your part.

Kinachofanya watu wengi waone ndoa chungu ni ku over do hasa siku za kwanza. Unakuta mtu anajipendekeza mpaka unawapa watu matumaini yasiyokuwepo. Baada ya muda ukianza kuonyesha tabia yako halisi lazima uchukiwe. Hence be yourself from day one.
 
Inashangaza sana watu wanaowabonda wahaya ni wale ambao hawajaolewa wala kuoa wahaya. Sasa sijuhi pili pili ya shamba inawawashia nini? Au ndio sizitaki mbichi hizi???? Mawifi zangu wote wanawafagilia kaka zangu...nyie mnaowabonda mnahusika vipi???
 
Katerero anapewa binti wa kihaya.Kagera kuna maisha mazuri,maji ya kutosha,umeme hadi vijijini
 
Nimebahatika kupata mchumba wa kihaya,,,kanyigo na natarajia kufika huko kwao december. Zaidi naomba mnijuze nikifika huko nitarajie nini na baada ya ndoa nitarajie vitu gani kutoka kwa huyu mume wa kihaya? Maana mimi ni mbondei.

Wewe binti ni mchokozi why specifically mentioned "Kanyigo"?. Kuna mtu hapa kasema umekuja kutafuta koments za "kihuni". Nafikiri kwa kutaja Kanyigo ameshatambua kuwa watu watachangia negatively na wanaume wa Kanyigo kutokana na tabia zao. Binti, kwa kifupi tu ni kwamba wahaya wanafaa kuoana wao kwa wao isipokuwa kwenye special circumstances. Kama mdau mmoja alivyosema hapo juu, kwenye mikutano yao yote hawaongei lugha nyingine isipokuwa kihaya tu labda uwe mkutano wa kimataifa, so tegemegea kuwa "mnyamahanga". Wanaume wa Kanyigo wanajisikia kupita kiasi na wewe kama darasa halijapanda juu utakwenda kuwa frustrated na utajuta. Ni hayo tu kwa sasa.
 
Watakuita 'mnyamaanga', cousin yangu kaolewa huko, hii kitu huwa wanamuita kwa siri, sipendi kwa kweli! Ila mumewe anampenda sana, so wanazidi kuumia!
 
Mwaka jana nilifika karagwe murishaka kwa WANYAMBO ebanaee wanadharau awa watu then awawakubali wahaya tukiwa ktk kupata moja moja jamaa aliniuliza jina alipokuta sio la kwao nikasikia MURUKE mfateh wa next aliposikia jina la muganyizi nikasikia correct MUPATIE
 
Back
Top Bottom