Wadada mnapenda tutokeje...

1)Casual simple (Mshikaji katupia Jinzi na shati mkono mrefu na snickers au viatu casual)
 
Wana MMU,

Wote mnafahamu umuhimu wa first impression especially kwenye ki date. Kipindi nina date date nilikuwa kabla sijatoka lazima nijicheki jicheki najiuliza atanionaje nikivaa hivi?

Nauliza wadada hivi ni swaga zipi kwenye First date utazifagilia? (Assume ni weekend )

1)Casual simple (Mshikaji katupia Jinzi na shati mkono mrefu na snickers au viatu casual)
2)Simple kawaida(Jinzi na Tshirt simple tu labda na saa mkononi , chini viatu casual au snickers)
3)Formal ( First date jamaa katupia suti tayari, halafu we binti unatokea na jinzi na T-shirt :lol:)
4)Too simple ( Kaptula , sandels na T-shirt)
5)African attire (Jamaa katupia kanzu ya ki Nigeria, au shati lina picha za pundamilia na sandels)
6) Official kidogo (Shati na suruali kitambaa kachomekea , chini moka)
7)Complicated (Mchizi kaweka suruali tumboni (Papaa ya motema na bandeko), Viatu vya bluu, shati la njano ,suruali nyekundu)
8)Cheki bobu aka Sharobaro (Jamaa kaja na suruali zao hizi za pinki, T-shirt yani inambana baala, Viatu vyao vile vya ulimi nje kama mbwa wa polisi):biggrin:

huko nilikobold....ukitokea tu....nakwambia nimepata simu ya msiba ghafla.....huyoooooo....nanyuka mbio.....
 
1. Jeans na shati mikono mirefu.... NO
2 simple...YES
3.suti kwani unaenda kwenye sherehe/kazini?.....NO
4.kaptula na sandals..... YES ila kama unakuja na usafiri wako.
5.african attire kwani umekuja kwenye maonesho.....NO.
6 official kidogo ndio mwake sana....YES.
7. Nitolee uzee wako huko.....NO.
8. Hapo ndio hata dakika mbili haziishi nitaaga....NO.
 
huko nilikobold....ukitokea tu....nakwambia nimepata simu ya msiba ghafla.....huyoooooo....nanyuka mbio.....

ahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa_sasa wengine ndio swaga zetu hizo,..kutoka kipapaa...suruali tumboni na viatu mchongoko ndio mzuka bhana....hope Preta you will draw you comment back...mmmmh!
 
Inategemea yeye yukoje na date iko sehemu gani....ukija na suti beach si tu nitakushangaa bali utaniudhi.....!

Preference ni 1 & 2....!
 
ahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa_sasa wengine ndio swaga zetu hizo,..kutoka kipapaa...suruali tumboni na viatu mchongoko ndio mzuka bhana....hope Preta you will draw you comment back...mmmmh!

ukija hivyo najidai sikujui....
 
Je kama nimevaa kanzu ya darzi na kofia ya mkono huku nanukia PacoRabane, Aramis au Kouros inafaa?
 
1. Jeans na shati mikono mirefu.... NO
2 simple...YES
3.suti kwani unaenda kwenye sherehe/kazini?.....NO
4.kaptula na sandals..... YES ila kama unakuja na usafiri wako.
5.african attire kwani umekuja kwenye maonesho.....NO.
6 official kidogo ndio mwake sana....YES.
7. Nitolee uzee wako huko.....NO.
8. Hapo ndio hata dakika mbili haziishi nitaaga....NO.

Husninyo,

Wewe hujui Jeans na shati mkono mrefu especially ikiwa black hivi ndio style iko juu kwa sasa???

Dah thats my favourite kumbe ungenitoa balu we ni soo.
 
Mimi napenda mwanaume anaeweza vaa vyovyote vile... for ni gurantee kua anaweza mazingira yoote na anaishi according to circumstances... nataka ikiwa weekend tumeenda for a stroll avae casual, napenda kama anaenda ofisini na ni ofice work avae formal, napenda kama ni field work avae ki-field work (ambayo mara nyingi ni casual OR Formal casual napendaga kuita) napena kama tutaongozana tunaenda kwenye sherehe kama ni cock tail basi atoke na suit ya Cock tail, napenda kama siku hio twaenda kuangalia shamba letu avae casual na ikiwezekana atupie hata shamba boots, napend kama kashinda siku hio nyumbani awe free na awe him self, kama atavaa kaptula/pensi, kama atavaa mshipi then well and good. Na of coz sitapenda avae chochote kama ni usiku (I kid). Enways mwanaume wa kung'ang'ania vazi la aina moja tu kila mahala... It tells a lot na pia inafanya kua awe anachemka saana.


In short napenda mwanaume ambae anashikilia maadili hasa katika mavazi kiasi kwama Mazingira yoyote he is home. Napenda tukienda kijijini a losen up kidogo sio avunje saana kabati. Napenda kama ni an international gathering hasa za kuonesha utaifa anaweza kua comfy kuvaa shati la kitenge. Wanaume mashoro baro si mbaya saaana tatizo hua most ni washamba! anadhani kua usharobaro upo kila mahala... ndio maana it is better kuwaachia vijana wauza sura.

Kwa mtindo huo ni kwamba napenda mwanaume wangu avae Kila ambacho umeorodhesha hapo kutegemea na mazingira. Naomba tu asitoke na mshipi kwenda nao mahali....

Mmh. inamaana hiyo no.7 unaifagi
 
ajue nini avae wakati gani, sio weekend unakuja kama unaenda kwenye interview, ndio muhimul ki perfume umesahau, asinijie na kikwapa mie, my first turn-off ndio hiyo. kiharufu cha ajabu ajabu kisichojulikana kinatoka wapi, sitaki kusikia:A S embarassed:
 
namba 1 mahali pake, perfect
namba 2, still I can accomodate that.

Namba 3, inaleta aibu, unaonekana umepania mno.

Hiyo kinigeria, nikikuona tu natimua mbio.
 
Mwali, ulishatoka kidate mtu akaja kavaa jumba???

Bonge la suti, nyeusi utadhani anaenda apishwa ikulu?
Afu weye umepiga simpo sana, inaleta aibu bana.

Iliwahi tokea, dah niliona kama choo cha kiume hivi, nimeingia.

Kaa as natural as possible. Kama kawaida yako unavaa suti mara 5 kwa wiki usilazimishe short and sandals.
Nataka nikuone kama ulivo, hakikisha upo comfortable.
 
Mwali, ulishatoka kidate mtu akaja kavaa jumba???

Bonge la suti, nyeusi utadhani anaenda apishwa ikulu?
Afu weye umepiga simpo sana, inaleta aibu bana.

Iliwahi tokea, dah niliona kama choo cha kiume hivi, nimeingia.

Sisi wengine wa mapensi tu na tishet na sandals mbona tuna kazi, but mbona daily watoto hawaruki, karibuni savanah quality centre wekend tuchek football na vipensi vyetu wadau, ngoja niombe date na smile nivae kipensi changu na ndala kama kawaida
 
Kila mtu na test yake
sipendi nitoke na mtu kavaa pensi, siwi konfotable.

Akivaa 1 or 2, i love it.

Sisi wengine wa mapensi tu na tishet na sandals mbona tuna kazi, but mbona daily watoto hawaruki, karibuni savanah quality centre wekend tuchek football na vipensi vyetu wadau, ngoja niombe date na smile nivae kipensi changu na ndala kama kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom