supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,451
- 10,933
Hapo sasa sawa... Asante
Mungu anakuonaWengine hawavai chupi kabisa..
Kabisaa anamuonaMungu anakuona
Na wanapendeza hao... ila kuna raha yake kumuona mwanamke kwenye dera nyepesi na chupi nyeupe ndani...Mungu anakuona
Faiza siku hizi mmmh.Biashara ni matangazo.
TUPIAPO KA PICHA TUJIRIDHISHEHuu mchezo umekithiri sasa wanawake na wadada anavaa dera au gauni laini refu mpaka chini kiasi kwamba mpaka anakua analinyanyua na mkono kidogo lakini cha kushangaza nguo hizo unakuta zinaonyesha kila kitu ndani utaona ramani ya miguu kuanzia juu mpaka chini.
Sijajua lengo ni nini ila kama mnaamua kuvaa nguo ndefu basi ikusitiri na si kuvaa nguo ndefu inayokuonyesha mpaka ndani.
tuache tupumue jamaniHuu mchezo umekithiri sasa wanawake na wadada anavaa dera au gauni laini refu mpaka chini kiasi kwamba mpaka anakua analinyanyua na mkono kidogo lakini cha kushangaza nguo hizo unakuta zinaonyesha kila kitu ndani utaona ramani ya miguu kuanzia juu mpaka chini.
Sijajua lengo ni nini ila kama mnaamua kuvaa nguo ndefu basi ikusitiri na si kuvaa nguo ndefu inayokuonyesha mpaka ndani.