sisame
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 365
- 320
Haaaaaaah haaaaaaah wewe kweli upupu wa pwaniHabari kama hizi bila picha zinakua hazieleweki kabisa
Haaaaaaah haaaaaaah wewe kweli upupu wa pwaniHabari kama hizi bila picha zinakua hazieleweki kabisa
Nipo kijijini yamenishinda ya huo upuuzi nipo likuyu huku namtumbo,wavae tu dira bila chupi watajua wenyewe!
Eeh mengine tuone sio kusimuliwa tuHaaaaaaah haaaaaaah wewe kweli upupu wa pwani
Sasa afadhali hivyo kuna wengine wanavaa refu halafu wanachomeka kwenye chupi haha simuliwa tu usione kinachoendelea baada ya hapoHuu mchezo umekithiri sasa wanawake na wadada anavaa dera au gauni laini refu mpaka chini kiasi kwamba mpaka anakua analinyanyua na mkono kidogo lakini cha kushangaza nguo hizo unakuta zinaonyesha kila kitu ndani utaona ramani ya miguu kuanzia juu mpaka chini.
Sijajua lengo ni nini ila kama mnaamua kuvaa nguo ndefu basi ikusitiri na si kuvaa nguo ndefu inayokuonyesha mpaka ndani.
Halafu juu anahijabu, eti kaficha maungo yake ila chupi na tako linaonekana kwa ufasaha tuHuu mchezo umekithiri sasa wanawake na wadada anavaa dera au gauni laini refu mpaka chini kiasi kwamba mpaka anakua analinyanyua na mkono kidogo lakini cha kushangaza nguo hizo unakuta zinaonyesha kila kitu ndani utaona ramani ya miguu kuanzia juu mpaka chini.
Sijajua lengo ni nini ila kama mnaamua kuvaa nguo ndefu basi ikusitiri na si kuvaa nguo ndefu inayokuonyesha mpaka ndani.
Mkuu huna japo kapicha?Huu mchezo umekithiri sasa wanawake na wadada anavaa dera au gauni laini refu mpaka chini kiasi kwamba mpaka anakua analinyanyua na mkono kidogo lakini cha kushangaza nguo hizo unakuta zinaonyesha kila kitu ndani utaona ramani ya miguu kuanzia juu mpaka chini.
Sijajua lengo ni nini ila kama mnaamua kuvaa nguo ndefu basi ikusitiri na si kuvaa nguo ndefu inayokuonyesha mpaka ndani.
Kiingiacho mjini si haram.
Acha uvivu, google!Mkuu huna japo kapicha?
Kwetu mkoani mambo kama haya ya kishwetani hakuna kabisa ...
Tupia kapicha.
Habari kama hizi bila picha zinakua hazieleweki kabisa
Weka picha tuone
Picha tafadhali si wengine huku Nanyumbu ni mgeni.