Leo nawaletea wenye majina William(Bill ni kifupi chake)Peter na Robert(Bob ni kifupi chake)Watu wenye majina haya wana sifa kuu zifuatazo,kwanza ni watu wenye mafanikio,pia wengi wao ni wakimya,hawapendi kujikweza,lakini pia hawako mbali na kupenda watoto wa kike,yaani hawana kawaida ya kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja!Ila ni watu wanaojali sana kuisaidia jamii inaowazunguka.Kama kawaida huu ni utafiti tu,dada zangu ni vizuri ukakagua wewe mwenyewe huyo mwenye jina hilo kama una uhusiano nae au unatarajia kuanzisha uhusiano!Tafiti hazisemi kweli kwa kila mtu,ila zinasema kweli kwa wengi pia,huwezi jua wako atakua kwa wengi au wachache!
Si unaona mnapothubutu kutaja majina halisi yanayowahusu uwezekano wa kuanza kufahamiana Hapa huyu Mzee Peter Kazi, unaemsema, mimi namfahamu Mz Peter Kazi ambae amefariki hivi majuzi akiwa na umri sikosei kama miaka 105 au 108 akiishi Mwanza Mirongo.Baba yangu ni Mzee Peter kazi za nje kazi attend na kujipatia watoto.nashawishika kusema utafiti ni wa kweli.
Daa huu utafiti naona ni chiboko yao!.
Sijui kama kuna ukweli wowote, labda tuwatafute hao akina William watuhabarishe!.umeona eeh.....hivi kuna ukweli wowote hapo...?
Bahati mbaya hii mitaa ninayoishi hakuna jirani wenye majina hayo!.Kagua vizuri kutakua na mmoja jirani hapo!