Wadada,kama unataka mwenye mafanikio huyu!!

Mkuu nahisi wewe jina lake laweza kuwa Robert au Peter......................au nimekosea?
 
Leo nawaletea wenye majina William(Bill ni kifupi chake)Peter na Robert(Bob ni kifupi chake)Watu wenye majina haya wana sifa kuu zifuatazo,kwanza ni watu wenye mafanikio,pia wengi wao ni wakimya,hawapendi kujikweza,lakini pia hawako mbali na kupenda watoto wa kike,yaani hawana kawaida ya kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja!Ila ni watu wanaojali sana kuisaidia jamii inaowazunguka.Kama kawaida huu ni utafiti tu,dada zangu ni vizuri ukakagua wewe mwenyewe huyo mwenye jina hilo kama una uhusiano nae au unatarajia kuanzisha uhusiano!Tafiti hazisemi kweli kwa kila mtu,ila zinasema kweli kwa wengi pia,huwezi jua wako atakua kwa wengi au wachache!

Yaani wewe unatuletea habari za karne ya kumi hizo,yaani unayohisi ww akilini kwako unayapa nguvu na unaamini,ama kweli huna tofauti na mganga wa kienyeji ambae siku zte huwa hana hakika na anachokisema
 
mie nawajua kina FRED,tabia zao ni hizi
1) ni waoga wa kutongoza
2)watundu
3) wanafanikiwa kirahisi yaan kimaisha
4) hawapend makuu Ila wanapenda sifa kama waha

Nyingine kesho
 
kaka inaonekana litakuwa jina lako hili so si mbaya kulifanyia promo kidogo!!! hata kina "mwakafyusa" nao watakuja na utafiti wao mbadala juu ya jina lao na watauita utafiti huo yakinifu...
Nataka kusema nini, inawezekana kuna ukweli mahali fulani ila mimi sijui hata... ila ninachojua sio william wote wapo kama ulivyo. Mfanao mzuri ninao ndugu wawili wenye majina ya william, mmoja ni uncle wangu yupo juu ya mawe vibaya na ni mzee wa totoz ile mbaya na amekimbiwa na mkewe sababu hiyo, mpaka sasa amezalisha wawake watatu tofauti.
William wa pili ni binamu yangu, yeye anapigika na kazi za ujenzi, anapiga mzigo mgumu kazini akirudi toka kazini masanga mpaka hakumbuki familia!! ndani hata stuli hana na ana godoro la sufi ka kitanda kikuukuu na meza ya mkopo toka kwa dada etu mmoja hivi... wakati mwingine yeye na familia yake hata uji wa asubuhi ni tatizo....
vipi kuhusu hawa kina william wawili? au wamekopa majina ( si yao)?
 
Songito,soma thread vizuri utagundua kuwa hata mimi sijasema kuwa wote wana tabia nilizosema hapo!Nakini huyo mmoja ni mzee wa totoz huoni kuwa amefit kwenye tabia mojawapo?
 
Baba yangu ni Mzee Peter kazi za nje kazi attend na kujipatia watoto.nashawishika kusema utafiti ni wa kweli.
Si unaona mnapothubutu kutaja majina halisi yanayowahusu uwezekano wa kuanza kufahamiana Hapa huyu Mzee Peter Kazi, unaemsema, mimi namfahamu Mz Peter Kazi ambae amefariki hivi majuzi akiwa na umri sikosei kama miaka 105 au 108 akiishi Mwanza Mirongo.
Nyumba yake iko kwenye kona ya kwenda Seketoure Hospital. Aidha mtoto wa Mz Kazi alikua na mtoto akiitwa Stephen Kazi (ambae nae ni marehemu) Stephen aliwahi kua Mbunge wa Mwanza mjini. Hii ndiyo familia yako? Au mfanano wa majina ?
 
Robert Mugabe full kujikweza na Robert (Robbie Williams) wa uingereza anadaiwa kuwa ndiye mwanamuziki mwenye biggest ego in showbiz
 
Back
Top Bottom