mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Nimejiuliza muda mrefu bila jibu naomba wadada nielewesheni. kuna aina ya magauni wadada wanayapenda ni marefu mpaka yanagusa chini kiasi kwamba mvaaji lazima alishikilie au apachike kwenye nguo ya ndani either taiti au yoyote. Nisaidien ni fashion kuvaa oversize au yote yanatengezwa makubwa? Na kama ni fashion hamuoni inakuwa kero kushikilia mwanzo mwisho?