Wadada basi hata aibu hakuna??

So uhandsome wako umeutambua ukiwa abroad?

Niko nje ya mada lakini nisidie kama unaweza,

Kama huko uliko website ya secretariat inafunguka nisaidie kunitumia file jipya linaloita watu kwenye interview tareh 5 na 6 November 2012, pia lile linaloita watu kazini kwa usaili uliofanyika september 2012. huku kwetu(Arusha) website yao haifunguki. inaandika hivi "This account has been suspended.
Either the domain has been overused, or the reseller ran out of resources." Tafadhali sana nasubiria maana nimeona hayo kwa kupitia simu, lakini simu hauwezi kufungua pdf files

Ikiwezekana weka kwenye forum ya kazi ili wafaidike wengi
 
Umejitahidi sana kufaulu huo mtihani wa kwanza, lakini jiandae mengine zaidi inakuja, kwani hawa jamaa wakiwa serious
basi next time hupindui, wako very strategic!!
Take care and take it easy!!
 
wewe kijana ebu tulizana ...married guys ndio mademu wanapenda bwana sasa hao wala usipate tabu nao wee waambie hivi mie mwenzenu ili niweze msaliti mke wangu ni kama demu atakuwa tayari kunipa tigo maana mke wangu ananibnia. ebu jaribu tuone kma watakupa
 
mh! acha uzushi, mwanaume hajisifii kutakwa. mtu mwenyewe hujui kutofautisha 'L' na 'R'. tafadhari....
umesikia raha mwenyewe...em fanyakazi
 
Kwani uganda sio abroad! Ama vile kaenda na basi? Mbona kuna mtu aliomba ushauri hapa wa kukwea pipa to nairobi? Muache mwenzio bana ana passport huyo, hata kama ya kikaratasi
abroad wapi unaweza ukakuta ni uganda tu hapo nin
 
Kwani uganda sio abroad! Ama vile kaenda na basi? Mbona kuna mtu aliomba ushauri hapa wa kukwea pipa to nairobi? Muache mwenzio bana ana passport huyo, hata kama ya kikaratasi
uganda sio abroad na wewe bhana khaaaa....kuvuka mabahari na bara ndo abroad ndugu...alaaaaaaah
 
Akhhhu! Mwenzio mie hata nikienda malawi nasindikizwa kituo cha basi na ukoo mzima na naulizwa kama nimekumbuka yellow card na passport. Ni abroa sema sio ulaya. Ukivuka bahari tu inakuwa ulaya hata kama ni india.:bowl:
uganda sio abroad na wewe bhana khaaaa....kuvuka mabahari na bara ndo abroad ndugu...alaaaaaaah
 
wewe kijana ebu tulizana ...married guys ndio mademu wanapenda bwana sasa hao wala usipate tabu nao wee waambie hivi mie mwenzenu ili niweze msaliti mke wangu ni kama demu atakuwa tayari kunipa tigo maana mke wangu ananibnia. ebu jaribu tuone kma watakupa

Wewe ndo umepotea njia...
Tena hapo si ndo atapewa bila kinyongo?
Unadhani angesema hivyo ndo angewakimbiza??
 
Leo nimeingia zangu kazini kama kawaida,mara akaja dada mmoja ameolewa jicho kavu hata aibu hana akasema unajua J yaani mimi. wewe ni handsome na unamvuto wa kila mwanamke humu ndani na kila mdada anakuzungumzia wewe wewe ni chaguo sahihi..ni kamwambia Asante na ninalitambua hilo toka nilipokuwa abroad nikisoma.

Akamaliza,Sasa J.tutakwenda lini wote dinner...nikamtazama nikamwambia si unajua mie nina mke hata miezi sita sijamaliza kwenye ndoa yangu...siwezi kwenda sehemu bila ya mke wangu kujua akajibu..wewe una mke nyumbani na mimi nina mume nyumbani....haaaa alinimaliza nguvu,nikamwambia kama umetumwa aliyekutuma kamwambie umeshidwa..Akaondoka zake huku akijitingisha...

Mchana nikamwita dada mmoja naye tunafanya naye kazi nikamuuliza baada ya kumwelezea kila kitu alichonijibu hata sikuamini masiko yangu.."kila binti humu ndani anakuta sema wanaogopa namna ya kukuanza"nikamwambia asante,message imenifikia...nikawamwambia asanteni mie najua huwa ni masiala tunapotaniana humu ndani ndiyo nikapata picha kamili za kuwa napigiwa simu usiku na sms..nikaachana naye..

Dada zangu naomba basi muwe hata na uso wa aibu yaani unamtaka mtu na huku ukijua kabisa ni mume wa mtu na tena hata kwenye harusi ulikwepo na unajua ndoa yao bado changa mapenzi bado motomoto unaingiza ushetani wako.Tafadhari acheni.

Hivi hujiulizi kwa nini wanakuafuata wakati walikuwepo kwenye harusi yako? Hao wametumwa na mkeo kukujaribu kama we ni mwaminifu na wala hawajirahisishi; halafu unaonyesha uta-nasa tu kwenye mtego huo-grow up boy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom