Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Habari,
Wadada walio wengi hupenda kufunguka sana kwenye first date. Utakuta mtu unamuangalia tu unamlia timing ili umfahamu vizuri.
Anaanza, " Unajua mimi kwanza nilikuwa na Mr A nikampenda sana ila alichonifanyia sikuamini kumbe alikuwa na gf mwingine, Nikawa na B naye akanitenda akaenda zake Ulaya hajarudi tena na mawasiliano kakata, nikawa na C naye akaja kuniacha ghafla akafunga ndoa bila kuniambia sababu......nk"
Acheni hii tabia mabinti ni suicidal, yaani unampa brother message kwamba akupige chini fasta kama walivyofanya wenzake. Pengine alikuwa hana mpango huo. Acheni hii mambo wakina mamdogo ita wa cost. Utabaki unalia kwamba huna bahati kila siku ukiwa na tabia hii.
Wadada walio wengi hupenda kufunguka sana kwenye first date. Utakuta mtu unamuangalia tu unamlia timing ili umfahamu vizuri.
Anaanza, " Unajua mimi kwanza nilikuwa na Mr A nikampenda sana ila alichonifanyia sikuamini kumbe alikuwa na gf mwingine, Nikawa na B naye akanitenda akaenda zake Ulaya hajarudi tena na mawasiliano kakata, nikawa na C naye akaja kuniacha ghafla akafunga ndoa bila kuniambia sababu......nk"
Acheni hii tabia mabinti ni suicidal, yaani unampa brother message kwamba akupige chini fasta kama walivyofanya wenzake. Pengine alikuwa hana mpango huo. Acheni hii mambo wakina mamdogo ita wa cost. Utabaki unalia kwamba huna bahati kila siku ukiwa na tabia hii.