Wachungaji

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Nimesoma habari moja umu ndani nikafurahi hasa pale aliposema ansafisha nyota nakurudisha nyota zilizopotea!!!Mtu wamungu anaongelea nyota zilizopotea???wakati hakutakiwa kujihusisha na imani za nyota??:A S-danger:
Hivi kwanini walokole wengi niwenyeji wa mkoa wakigoma??
|Jibu tafadhaliJe ndiko makanisa haya yalikoanzia??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom