KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Nimesoma habari moja umu ndani nikafurahi hasa pale aliposema ansafisha nyota nakurudisha nyota zilizopotea!!!Mtu wamungu anaongelea nyota zilizopotea???wakati hakutakiwa kujihusisha na imani za nyota??:A S-danger:
Hivi kwanini walokole wengi niwenyeji wa mkoa wakigoma??
|Jibu tafadhaliJe ndiko makanisa haya yalikoanzia??
Hivi kwanini walokole wengi niwenyeji wa mkoa wakigoma??
|Jibu tafadhaliJe ndiko makanisa haya yalikoanzia??