Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Ni kweli MF1, tena cha kusikitisha hata watu wa nje wanakuja kutajirikia kupitia taasisi za kidini, wanakuja kwa gear ya kutoa misaada na kuendesha biashara zao wakifanikiwa wanaondoka na kuuza taasisi kwa watu wengine wakidai kuwa wamefanya mabadiliko, taasisi nyingi zinaendeshwa kibiashara, ni magari mangapi yanayoagizwa na taasisi zetu za kidini na ya nasamehewa kodi kumbe ni kwa ajili ya matumizi ya watu binafsi,
hata wafanyabishara wanatumia taasisi za dini kuingiza vitu bila ushuru,
I think it is sheer short sighteedness kwa mtu kuiona miradi mingi ya kidini na kijamii kwa mtindo huu wa jumla ya magari yaliyoingizwa na kodi iliyokosekana.Long term scope ya miradi hii ya kijamii ambayo inatekelezwa na mashirika haya ya kidini ina far reaching impact kuliko kodi inayoweza kupatikana.
Kwa hii leo, kwa level of governance tuliyonayo (na si miaka hii tu ya karibuni) miradi mingi ya kiserikali siyo endelevu ukilinganisha na ile ya kidini, hii ni pamoja na ukweli kuwa wote wanafaidika na misamaha ya kodi.
Last edited: