Wachungaji na Makanisa: Je, hii ni kweli?

Mdau

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,789
470
Nimebahatika kutembea at least nusu ya mikoa yote ya Tanzania,apart from Pemba na Unguja,karibu miji mingine mikubwa yote ya Tanzania bara niliyopata kufika imejaa utitiri wa makanisa,huku karibu kila kanisa likiwa na Mchungaji-Mwanzilishi.....swali langu ni kwamba,je ni kweli kwamba Wachungaji wengi wanaanzisha makanisa maeneo ya mjini kwa sababu ya urahisi wa kupata sadaka na michango mingine???
 
Nimebahatika kutembea at least nusu ya mikoa yote ya Tanzania,apart from Pemba na Unguja,karibu miji mingine mikubwa yote ya Tanzania bara niliyopata kufika imejaa utitiri wa makanisa,huku karibu kila kanisa likiwa na Mchungaji-Mwanzilishi.....swali langu ni kwamba,je ni kweli kwamba Wachungaji wengi wanaanzisha makanisa maeneo ya mjini kwa sababu ya urahisi wa kupata sadaka na michango mingine???

Tusiwalaumu watu wa Dini nao wakale wapi? Fedha yote kwa wanasiasa na mafisadi wa Serikalimi.
 
kondoo humtambua mchungaji wao, nae hulitambua kundi lake
 
Nimebahatika kutembea at least nusu ya mikoa yote ya Tanzania,apart from Pemba na Unguja,karibu miji mingine mikubwa yote ya Tanzania bara niliyopata kufika imejaa utitiri wa makanisa,huku karibu kila kanisa likiwa na Mchungaji-Mwanzilishi.....swali langu ni kwamba,je ni kweli kwamba Wachungaji wengi wanaanzisha makanisa maeneo ya mjini kwa sababu ya urahisi wa kupata sadaka na michango mingine???

Swali lako ni very wide.
Ni sawa na mtu anayeingia Tanzania kwa mara ya kwanza na kuuliza "hivi waTanzania wote nia wana ccm"
Makanisa yako ya aina mbali mbali, kuanzia ya Kikatoliki ambalo ni kanisa kubwa zaidi duniani , hadi yale ya kiprotestanti, yaani KKKT na Anglican.
Vilevile kuna yale ya kileo yanayoitwa ya kiroho.
Sasa mkuu utafiti wako hauko complete na si rahisi kwako kudraw conclusions bila data kamili.
 
Nimebahatika kutembea at least nusu ya mikoa yote ya Tanzania,apart from Pemba na Unguja,karibu miji mingine mikubwa yote ya Tanzania bara niliyopata kufika imejaa utitiri wa makanisa,huku karibu kila kanisa likiwa na Mchungaji-Mwanzilishi.....swali langu ni kwamba,je ni kweli kwamba Wachungaji wengi wanaanzisha makanisa maeneo ya mjini kwa sababu ya urahisi wa kupata sadaka na michango mingine???
vya kaizali muachie kaizali; hili sasa ni swali lenye direct uchokozi. sijiui lini tutakua.
 
Nimebahatika kutembea at least nusu ya mikoa yote ya Tanzania,apart from Pemba na Unguja,karibu miji mingine mikubwa yote ya Tanzania bara niliyopata kufika imejaa utitiri wa makanisa,huku karibu kila kanisa likiwa na Mchungaji-Mwanzilishi.....swali langu ni kwamba,je ni kweli kwamba Wachungaji wengi wanaanzisha makanisa maeneo ya mjini kwa sababu ya urahisi wa kupata sadaka na michango mingine???

Nyumba zote za ibada kubwa, nzuri iwe makanisa au misikiti ziko mijini where there are big fish. kwani wewe unasali msikiti au kanisa la kijijini?

for your info watu wanasomea hizo kazi............
 
Swali lako ni very wide.
Ni sawa na mtu anayeingia Tanzania kwa mara ya kwanza na kuuliza "hivi waTanzania wote nia wana ccm"
Makanisa yako ya aina mbali mbali, kuanzia ya Kikatoliki ambalo ni kanisa kubwa zaidi duniani , hadi yale ya kiprotestanti, yaani KKKT na Anglican.
Vilevile kuna yale ya kileo yanayoitwa ya kiroho.
Sasa mkuu utafiti wako hauko complete na si rahisi kwako kudraw conclusions bila data kamili.

Nahisi haya yakileo/kiroho ndio mengi mijini relative to kijijini kwasababu mitumi na manabii hupatikana mijini na sio kijijini.
 
jamani kumbukeni hata kwenye Bible imeandikwa Siku za Mwisho watakuja manabii wa uongo wakisema mimi ni kristo ila msiwafuate.
 
wakosaji wengi wako mijini na wanaungama kwa kutoa sadaka nyingi wakidhani pesa mbele ya mungu inaondoa dhambi, na wachungaji wanatake hiyo advantage
 
Swali lako ni very wide.
Ni sawa na mtu anayeingia Tanzania kwa mara ya kwanza na kuuliza "hivi waTanzania wote nia wana ccm"
Makanisa yako ya aina mbali mbali, kuanzia ya Kikatoliki ambalo ni kanisa kubwa zaidi duniani , hadi yale ya kiprotestanti, yaani KKKT na Anglican.
Vilevile kuna yale ya kileo yanayoitwa ya kiroho.
Sasa mkuu utafiti wako hauko complete na si rahisi kwako kudraw conclusions bila data kamili.

ahsante mkuu......namaanisha haya ya kiroho.....
 
Tusiwalaumu watu wa Dini nao wakale wapi? Fedha yote kwa wanasiasa na mafisadi wa Serikalimi.

are you serious mkuu!! hivi hujui kwamba dini zinatakiwa ziwe miongozo ya maisha???
 
vya kaizali muachie kaizali; hili sasa ni swali lenye direct uchokozi. sijiui lini tutakua.

mkuu,nashukuru,ila uchokozi huu ni wa kufikirisha bongo zetu zaidi na si kuharibu.......una kanisa la kiroho??
 
Nyumba zote za ibada kubwa, nzuri iwe makanisa au misikiti ziko mijini where there are big fish. kwani wewe unasali msikiti au kanisa la kijijini?

for your info watu wanasomea hizo kazi............

mimi ni muumini huru,naamini uwepo wa Mungu......nasali popote ndugu yangu..
 
Ndugu Zangu, Baada Ya Kuona Wachungaji Uchwara Mahubiri Yao Yenye Kusisitiza Utoaji Wa Sadaka Na Zaka Zaidi, Hadi Kupelekea Kuacha Namba Zao Za M-pesa Na Akaunt Namba Zao Ili Wachangiwe Mamilion Ya Pesa Badala Ya Kuacha Mistari Ya Bibilia, Ninataka Nianzishe Namimi Kanisa Jipya.Wakuu Mnaonaje? Mfano Gwajima Kanisa Lake Linamuingizia Mamilioni,kapata Hammer Kwa Njia Ya Kanisa.
 
Ndugu Zangu, Baada Ya Kuona Wachungaji Uchwara Mahubiri Yao Yenye Kusisitiza Utoaji Wa Sadaka Na Zaka Zaidi, Hadi Kupelekea Kuacha Namba Zao Za M-pesa Na Akaunt Namba Zao Ili Wachangiwe Mamilion Ya Pesa Badala Ya Kuacha Mistari Ya Bibilia, Ninataka Nianzishe Namimi Kanisa Jipya.Wakuu Mnaonaje? Mfano Gwajima Kanisa Lake Linamuingizia Mamilioni,kapata Hammer Kwa Njia Ya Kanisa.

fanya ile usije kukwapua wake za watu.
 
utafiti wako elekeza na huku bar nyingi za kisasa ziko mijini mbona vijijini hakuna
 
Ndugu Zangu, Baada Ya Kuona Wachungaji Uchwara Mahubiri Yao Yenye Kusisitiza Utoaji Wa Sadaka Na Zaka Zaidi, Hadi Kupelekea Kuacha Namba Zao Za M-pesa Na Akaunt Namba Zao Ili Wachangiwe Mamilion Ya Pesa Badala Ya Kuacha Mistari Ya Bibilia, Ninataka Nianzishe Namimi Kanisa Jipya.Wakuu Mnaonaje? Mfano Gwajima Kanisa Lake Linamuingizia Mamilioni,kapata Hammer Kwa Njia Ya Kanisa.

Chonde chonde na wake za watu..
 
Chonde chonde na wake za watu..

Kuna huyu kiongozi mmoja mshenzi sitamtaja jina lake linaanzia gwa. mbwa huyu ni bingwa wa kuchukua wake za watu na viwanja vyao. kwanza kavunja ndoa ya mtu na kumdhulimu shamba. pili kavunja ndoa na kuzaa na mke wa mgeni fulani. Tatu anaendelea kumgegeda mdada maarufu jina lake linaanzia mba. na ndoa iko hati hati. HUYU NAYE TUMWITE MZINZI AU MUASHERATI AU MLEVI NGONO AU MCHANGANYAJI ? HIVI haogopi ukimwi. mke wake nae ....ngoja nisiseme
 
Back
Top Bottom