Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Nimebahatika kutembea at least nusu ya mikoa yote ya Tanzania,apart from Pemba na Unguja,karibu miji mingine mikubwa yote ya Tanzania bara niliyopata kufika imejaa utitiri wa makanisa,huku karibu kila kanisa likiwa na Mchungaji-Mwanzilishi.....swali langu ni kwamba,je ni kweli kwamba Wachungaji wengi wanaanzisha makanisa maeneo ya mjini kwa sababu ya urahisi wa kupata sadaka na michango mingine???