St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,634
- 4,519
- Thread starter
- #21
mmmmh paka M unataka mke kweli wewe?? ushaona kasoro still unataka,
Tukushauri uingie na kasoro kwenye ndoa,
Shauri yako, hutakiwi kuona kasoro kwa mtu unaetaka kumuoa, na ukiiona haikupi shida ila unatafuta
njia ya kupambana nayo. "Upendo huficha mabaya yote."
Mn......!hata kwa huyo mlupo?