mimi nimepata hapahapa,hamna changa la macho:wink:Jaman mlio kwisha tafta wachumba hapa naombeni data. Hv hao wachumba wanapatikana kweli au ndo changa la macho? Ntashukuru kma ntapata mifano hai.
natumai watu wanatoa ushuhuda wa ukweli.....:A S 39:
Kuna sehemu nyingi za kupata wachumba - vyuoni, harusini, maofisini, kwenye party, daladala. n.k. Kwa maana nyingine ni swala la kuwa na uthubutu. Kama umependa thubutu ku-approach na kujieleza. Halafu komaa hata kama utakataliwa mara ya kwanza. Persistence pays. Kwa akina dada najua mna namna zenu za kuwafanya wanaume wafikiri wao ndiyo wameanza kumbe wao ndiyo walianzwa. Zitumie. Vinginevyo mtapoteza misamihati ya kutongozana. Kila kitu mpaka utumie mtandao?natumai watu wanatoa ushuhuda wa ukweli.....:A S 39:
ila kaa ukijua kuwa, kwenye faida na hasara pia zipo!!!