Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atamweleza mtaalam, we mtaalam? toa contacts umemaliza msaada wakomm namjua ..! sema unataka ramani ya namna gani..?
wadau, wana JF,
Naomba yeyote anayefahamu watu wazuri na wenye gharama nafuu kwa uchoraji/design ramani za nyumba kwa ajili ya kuishi/makazi tafadhali anisaidie.
Naamini wengine wapo humu jf, tafadhali naomba mjitokeze, nipeni contacts tutafutane.
Naamini unahitaji msanifu (architect) na sio mchoraji (draftsman)! Hili ni la muhimu maana usije ukaingia mkenge! Kama unatafuta architect naweza kukupa contacts lakini kwenye suala la bei nafuu hilo sitaki kulisemea kwa sababu sijui kipato chako (i.e. bei nafuu kwako yaweza kuwa aghali kwangu or vice versa!).
Naamini unahitaji msanifu (architect) na sio mchoraji (draftsman)! Hili ni la muhimu maana usije ukaingia mkenge! Kama unatafuta architect naweza kukupa contacts lakini kwenye suala la bei nafuu hilo sitaki kulisemea kwa sababu sijui kipato chako (i.e. bei nafuu kwako yaweza kuwa aghali kwangu or vice versa!).
here i am, an architect, mwana j.f mwenzenu. Please give me those jobs. My numbers are 0785131616 or 0717321336.