Kiluvya2011
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 215
- 31
Wachina wa kampuni ya chiko wavamia kituo cha polisi babati na kutoa kichapo kwa polisi, ktk taflan hiyo wafanyakazi watatu wa kampuni ya wachina wapo hoi kwa majeraha...kisa gali lao kugongwa na basi na kukata site mirror...source radio one breaking news
Mwenye habari zaidi atujuzi.
Mwenye habari zaidi atujuzi.