:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1: Duh!!! AO umenifurahisha sana hapo kwenye blue umenikumbusha mbali sana kwa hiyo mineno.
kwan we umeiyona?unaweza kuwa nayo stl usijue km unayo au km kubwa au ndgo?
bye babu wewe
....dah hii style naifagilia sana walah. Rosie ole wako uingie kwenye kumi na nane zangu utakuna nazi mpaka ukamuliwe tui la nazi kuanzia la kwanza mpaka la saba.naenda kuna naz mie!!!
viazi vya watoto wakubwa yetu ndizi kakaNa viazi je?
msaniii kuwa makin baba ohh ohh nsije nkakukunisha we nazi.............shauriroooooo!!!!!!!!!....dah hii style naifagilia sana walah. Rosie ole wako uingie kwenye kumi na nane zangu utakuna nazi mpaka ukamuliwe tui la nazi kuanzia la kwanza mpaka la saba.
mie ningekuwesesa hukuniambia tu
uliniona nin?huku unakuna nazi, hapa pembeni kuna ndizi yako safi kweli hiyo!imetulia
raha ya naz ukune mwenyewe babu ukikuniwa na mtu anaweza akakuna mabonge mabonge so shuruti mi mwenyewe nkae chn kwa heshma na utulivu wake nshike nazi taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu niikune ipate toka laini sampuli ya beb johnson powder!!!!!!!!Mbuzi ya kukunia nnae ilete kwangu nazi bibie niikuneeeeeeee:biggrin1::biggrin1:
raha ya naz ukune mwenyewe babu ukikuniwa na mtu anaweza akakuna mabonge mabonge so shuruti mi mwenyewe nkae chn kwa heshma na utulivu wake nshike nazi taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu niikune ipate toka laini sampuli ya beb johnson powder!!!!!!!!
kina makali????stak usumbufu mie habari ya mpaka nikitie maji ntafute kijiwe au niende upenuni mlangoni nianze kukinoa stak mie!!!!Njoo nkupe kikunio
raha ya naz ukune mwenyewe babu ukikuniwa na mtu anaweza akakuna mabonge mabonge so shuruti mi mwenyewe nkae chn kwa heshma na utulivu wake nshike nazi taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu niikune ipate toka laini sampuli ya beb johnson powder!!!!!!!!
habari yangu ni nzur bana!Mashallah!!na haswa ile mikao yenu mnayokaa pindi mnakuna nazi, mi mnanichoshaga kabisa!habari lako we binti??????
aya kilete basi!!!!Bado kiko nyuuu hakijatunika:biggrin1::biggrin1: