Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kwenu wananchi
kama mjuavyo baada ya bajaji tumeamua kuja na pikipiki usafiri wa haraka zaidi
kwa baahati mbaya wimbi hili limekuwa msiba kwa watanzania wengi jamani
ukifika kule arusha kuna wadi ya pikipiki kabisa kila siku wanaletwa kama si maiti
ICU
ukija muhimbili ni balaa tupu ...je hii ni wachina kuamua kupunguza idadi ya watanzania kuzaliana ovyo ama ni sisi tunajimaliza wapendwa??
kama mjuavyo baada ya bajaji tumeamua kuja na pikipiki usafiri wa haraka zaidi
kwa baahati mbaya wimbi hili limekuwa msiba kwa watanzania wengi jamani
ukifika kule arusha kuna wadi ya pikipiki kabisa kila siku wanaletwa kama si maiti
ICU
ukija muhimbili ni balaa tupu ...je hii ni wachina kuamua kupunguza idadi ya watanzania kuzaliana ovyo ama ni sisi tunajimaliza wapendwa??