Karibu mwezi sasa tunaangalia kwenye vyombo vya watu matapeli wa huduma ya afya,wakorea,wchina,waarabu,wahindi, wakifoka na kuwafukuza wataalamu wetu toka wizara ya Afya,kwa maneno makali,kuwatupia mikono ya dharau,wanadai wajitambulishe kwa barua ,wanawzuia wasikague baadhi ya maeneo,kiujumla hawana heshima kabisa kwa kauli,lugha na matedno kwa wataalamu hawa
Najiuliza ni vipi wahamiaji haramu wanaweza kutoa huduma ya tiba bila vibali wala ujuzi,tunauhakika gani kama watakuwa hawachomi watanzania sindano yenye viambukizo vya wadudu kama birusi bya ukimwi na hepatatis,
Inakuwaje wanaendesha hizi hospitali au dispensary bila kijiji,kata,wilaya,mko kuwastukia hivi tuko salama kweli nchi hii,tunaambiwa kuna wageni wanakuja kuchimba madini,wengine wamechukua nyumba hawataki kutoka,wengine wamejimilikisha mashamba,wengine wana viwanda feki vya juice,sabuni je kuna mtu kweli anajali usalama wa wananchi
Inakuwaje watu wasiozungumza kiswahili wanaweza kuajili,wanunua wapi dawa wanazotibia hawa wagonjwa,nina hasira sana kuona serikali inaweza ikawa legelege kiasi hiki mpaka kila mtu ambaye ni mgeni akaingia nchini nakufanya afanyavyo huku akiwanyonya wananchi na kuharibu afya za watanzania
Watanzania wenzangu hali ya kuchezea afya za wananchi ni baya sana kuna siku tutakuja kushangaa watu wengi wana kansa,au hawazai,au si rijali au watoto wanazaliwa vilema kutokana na kupatiwa tiba zisizo na usalama wowote
Nadhani wizara ya afya hili zoezi liwe endelevu
Najiuliza ni vipi wahamiaji haramu wanaweza kutoa huduma ya tiba bila vibali wala ujuzi,tunauhakika gani kama watakuwa hawachomi watanzania sindano yenye viambukizo vya wadudu kama birusi bya ukimwi na hepatatis,
Inakuwaje wanaendesha hizi hospitali au dispensary bila kijiji,kata,wilaya,mko kuwastukia hivi tuko salama kweli nchi hii,tunaambiwa kuna wageni wanakuja kuchimba madini,wengine wamechukua nyumba hawataki kutoka,wengine wamejimilikisha mashamba,wengine wana viwanda feki vya juice,sabuni je kuna mtu kweli anajali usalama wa wananchi
Inakuwaje watu wasiozungumza kiswahili wanaweza kuajili,wanunua wapi dawa wanazotibia hawa wagonjwa,nina hasira sana kuona serikali inaweza ikawa legelege kiasi hiki mpaka kila mtu ambaye ni mgeni akaingia nchini nakufanya afanyavyo huku akiwanyonya wananchi na kuharibu afya za watanzania
Watanzania wenzangu hali ya kuchezea afya za wananchi ni baya sana kuna siku tutakuja kushangaa watu wengi wana kansa,au hawazai,au si rijali au watoto wanazaliwa vilema kutokana na kupatiwa tiba zisizo na usalama wowote
Nadhani wizara ya afya hili zoezi liwe endelevu