Wachina waja na matikiti ya square badala ya Mviringo

OOh sorry, nimesoma fasta heading nikajua "matiti" ya square badala ya mviringo, kumbe ni matikiti....

ila kwa wachina hata matiti ya square pengine wanayo.
 
OOh sorry, nimesoma fasta heading nikajua "matiti" ya square badala ya mviringo, kumbe ni matikiti....

ila kwa wachina hata matiti ya square pengine wanayo.
Hahahahahaha! nimecheka sana ni kama mimi jana nikaona 'Natoa' kwenye MMU nikakimbia haraka nikidhani anatoa kitumbua lol!
 
Yaani sisi mitanzania kila kitu ni kuponda tu,wachina sijui hii,sijui feki,wewe na mitanzania mingine mmetengeneza nini cha maanna mpaka sasa hivi?try to appreciate what others do.Na kwa taarifa yenu,Bidhaa feki za kichina zipo africa tu,kwa sababu za umaskini wenu.Kwanza mnatakiwa mwashukuru kwamba wanawatengenze hizo bidhaa,kama wasingekuwa hao,hizo brand na vitu ungezikuwa unasikia tu redioni.Nikuambie pia kwamba China ina vitu vya quality hata kupita hiyo marekani mnayojivuniia.Kama hamjui,vitu vyote ambavyo mmarekani anatengeneza part zote zina tenegenzwa China.Mfano 1 ni vitu vya kampuni ya APPLE.Kama mna hela,tembeeni China na mujione,siyo kusema sema tu.Kama zao ni feki,mbona umezinunua?Na kama Zao feki,basi mbona umeshindwa kutengeneza ya kwako,angalau ka toothpick?
Mitanzania ndivyo tulivyo,kulalamika kama mtoto,lakini uwezo ni ZERO period.

wewe wacha habari yako sisi tunatengeneza koroboi kama hatuna akili nzuri vile,kama unabisha tembea uone hasa kipindi hiki cha mgao wa giza.pia tyumegundua namna ya kutapisha choo wapi wanajua hiyo sayansi??we kaa huko huko sie tunajivunia vyetu
ngeleja hoyeeeeee:A S 103:
 
Nasikia hawa jamaa wameshaanza na tecknolia nyingine sasa hivi wanatengeza mchele!

nishanunua huo mchele(wanatengeneza kwa unga wa ngano) na jina unaitwa quality.pia nilinunua maharage mabichi nilipika siku mbili hayakuiva nikawapelekea dukani kama yalivyo kwenye sufuria
sasa hivi sinunui chochote wala kwenda restaurant za hawa jamaa waweza kula nyama ya mtu
 
Hahahahahaha! nimecheka sana ni kama mimi jana nikaona 'Natoa' kwenye MMU nikakimbia haraka nikidhani anatoa kitumbua lol!

Hahahahahaa! nakwambia nimefungua hii thread fasta nikiwa najua wanazungumzia ishu nyingine, kumbe ni matikiti.....
 
Haya si wachinas ni Japan yalipoanzia na yaliletwa humu JF toka 2008. Nothing special yanawekewa hard box na yanafata shape wakati yanakuwa.

Weye umejiunga JF MAY 2011 wajuwaje mambo ya 2008? Khaa, watu huwa wanajisahau kiraiiiiissssssi
 
Muse A Muse,acha maneno yako ambayo yana kufanya uonekane kama hujaenda shule.Sasa mtu akijiunga 2011,kupata thread ya 2008 inahitaji rocket science?hebu fikiria mara mbili ulichokiandika,sawa.
 
Weye umejiunga JF MAY 2011 wajuwaje mambo ya 2008? Khaa, watu huwa wanajisahau kiraiiiiissssssi

Sikujisahau na si siri, nimeshasema mara nyingi tu, nipo Jamii Forums toka haijawa Jamii na ilikuwa Jambo Forums, nilikula ban ya maisha kwa id yangu ya zamani. Hakuna cha kuficha, au hili nalo hutolipenda? au unataka kukisia hiyo id ya zamani? jaribu.
 
Back
Top Bottom