Famba,hayajapita shambani.jamaa wanatengeneza kila kitu feki,mayai mchele nazi maembe,ngogwe,
walichonacho orijino ni nyoka mijusi,kenge,mende,vyura utapata orijino huko
Ni ya kawaida. Wakati tikiti lipo bado changa wanalivisha box alafu linakua humo ndani na kinakaa na shape hiyo.Ni ya maabara ama yamezalishwa kikawaida?
Ni ya kawaida. Wakati tikiti lipo bado changa wanalivisha box alafu linakua humo ndani na kinakaa na shape hiyo.
Lengo la kufanya hivo ni storage. Kama truck lilikua na uwezo wa kubeba tikiti 500 za sphere sasa litabeba 1000 za cubic sababu ni rahisi kuzipanga vizuri.[/QUO
mmmmmmhhhhhhhh!!! hii science imechakachuliwa!
Ni ya kawaida. Wakati tikiti lipo bado changa wanalivisha box alafu linakua humo ndani na kinakaa na shape hiyo.
Lengo la kufanya hivo ni storage. Kama truck lilikua na uwezo wa kubeba tikiti 500 za sphere sasa litabeba 1000 za cubic sababu ni rahisi kuzipanga vizuri.
Heee, ngogwe? Hili neno sjui nilishaliskia wapi!!! Itakuwa pande za ziwani.
Ni ya kawaida. Wakati tikiti lipo bado changa wanalivisha box alafu linakua humo ndani na kinakaa na shape hiyo.
Lengo la kufanya hivo ni storage. Kama truck lilikua na uwezo wa kubeba tikiti 500 za sphere sasa litabeba 1000 za cubic sababu ni rahisi kuzipanga vizuri.