Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tetesi kwamba wachina kabla ya kutoka kwao huwa wanachomwa sindano ya kuwafanya kukosa hisia za mapenzi kuepusha kuzaliana ovyo. Je hizo dawa zimeisha nguvu mwilini?
..hilo sina uhakika, ninachojua ni kuwa hawa Wachina kwao ni mwiko kurudi na mtoto aliychanganya damu na non-chinese hasa blacks. Matokeo yake mtoto atakayepatikana katika ndoa hizo basi hataweza kutambuliwa/kukubalika kuwa ni mchina atabaki kuwa mtanzania tu! Hii ilitokea huko Kiwira Coal Mine (Tukuyu), wachina walizaa sana na dada wa Kinyakyusa wakaishia kulipa tu vifedha kidogo ili kuzima soo, lakini wakakataa katakata kuondoka na watoto wao muda wa mikataba ya wachina ulipoisha. Ushingae leo hii ukikuta kijana mwenye damu ya Kichina akijitambulisha kuwa yeye ni Mnyakyusa na anakichapa kilugha kwa saaaaana....mughonile ngada mwe!
mmh! Sasa huyu mtoto wangu mi itakuaje??..hilo sina uhakika, ninachojua ni kuwa hawa wachina kwao ni mwiko kurudi na mtoto aliychanganya damu na non-chinese hasa blacks. Matokeo yake mtoto atakayepatikana katika ndoa hizo basi hataweza kutambuliwa/kukubalika kuwa ni mchina atabaki kuwa mtanzania tu! Hii ilitokea huko kiwira coal mine (tukuyu), wachina walizaa sana na dada wa kinyakyusa wakaishia kulipa tu vifedha kidogo ili kuzima soo, lakini wakakataa katakata kuondoka na watoto wao muda wa mikataba ya wachina ulipoisha. Ushingae leo hii ukikuta kijana mwenye damu ya kichina akijitambulisha kuwa yeye ni mnyakyusa na anakichapa kilugha kwa saaaaana....mughonile ngada mwe!