MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Juzi niliweza kwenda Kariakoo kununua mahitaji ya nyumbani. Chaajabu ni hiki hapa:
Nilipo taka kununua Kitunguu swaumu, muuzaji alinipa bei mbili. Kilo moja ya Kitunguu Swaumu Kutoka Tanzania ilikuwa Shilingi 2,200 na kilo moja ya kitunguu Swaumu kutoka China ilikuwa Shilingi 1,700.
Jamani Nani wa kulaumiwa hapa? Jamani hata Vitunguu vinatoka uchina?
Nilipo taka kununua Kitunguu swaumu, muuzaji alinipa bei mbili. Kilo moja ya Kitunguu Swaumu Kutoka Tanzania ilikuwa Shilingi 2,200 na kilo moja ya kitunguu Swaumu kutoka China ilikuwa Shilingi 1,700.
Jamani Nani wa kulaumiwa hapa? Jamani hata Vitunguu vinatoka uchina?