Hii itawafaa wanaotaka kuwa kama "Hashim Thabit"Kama huridhiki na urefu wa kimo chako, nenda Sinza Makaburini, nyuma ya Kilimanjaro Bar kuna zahanati mpya ya wachina wanarefusha mifupa.
Kama huridhiki na urefu wa kimo chako, nenda Sinza Makaburini, nyuma ya Kilimanjaro Bar kuna zahanati mpya ya wachina wanarefusha mifupa.
mbona wao hawajirefushi?
kazi kweli kweli na yale mambo yetu wanaongeza?? Yasijefika paka mguunidah hawa wachina ni noma..hebu niulizie kama wanarefusha nywele..
kazi kweli kweli na yale mambo yetu wanaongeza?? Yasijefika paka mguuni
walaaahi wachina wamelaaniwa, kama wana dawa za kurefusha watu mbona na wao wasijirefushe wamfikie idol wao Yao Ming?mbona wasiongeze size za nanihiu zao , ma hips etc?
Jibu ni kuwa bcz wanajua dawa zote hizo zina side effect mbaya sana afta sam tym.
My advice..ridhika na kile ulichopewa na Mungu wako...
fikiria tena mkuuhalafu cha kuchekesha, Wachina wengi ni vimbilikimo
Kama huridhiki na urefu wa kimo chako, nenda Sinza Makaburini, nyuma ya Kilimanjaro Bar kuna zahanati mpya ya wachina wanarefusha mifupa.